BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 5,950 Reaction score 11,295 Feb 23, 2013 #1 Waziri wa Elimu amesema chanzo cha wanafunzi kufeli ni kuzibwa kwa mianya ya wizi wa mitihani,Je haya ya kweli Jf
Waziri wa Elimu amesema chanzo cha wanafunzi kufeli ni kuzibwa kwa mianya ya wizi wa mitihani,Je haya ya kweli Jf
meningitis JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 8,425 Reaction score 4,768 Feb 23, 2013 #2 hilo jibu kalidesa humu humu JF!
NAPITA JF-Expert Member Joined Apr 2, 2012 Posts 5,077 Reaction score 2,246 Feb 23, 2013 #3 ka copy na ku paste.
babe S JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 3,879 Reaction score 20,858 Feb 23, 2013 #4 cr ap! hadi nimesikia hasira je anataka kuimply nini? kuwa zaid ya asilimia 80 walikua wanategemea kuiba mitihani? na je miaka mingine wote walikua wanaibia?
cr ap! hadi nimesikia hasira je anataka kuimply nini? kuwa zaid ya asilimia 80 walikua wanategemea kuiba mitihani? na je miaka mingine wote walikua wanaibia?
pmwasyoke JF-Expert Member Joined May 27, 2010 Posts 4,760 Reaction score 3,324 Feb 23, 2013 #5 Kwa hiyo tuliofaulu miaka ya nyuma tuliiba mitihani?
BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 5,950 Reaction score 11,295 Feb 23, 2013 Thread starter #6 Hapa waziri kamcheka lool
N Nzowa Godat JF-Expert Member Joined Jun 15, 2011 Posts 2,785 Reaction score 821 Feb 23, 2013 #7 Sema hiyo ni factor mojawapo, lakini zipo na nyingine nyingi tu!
N Nzowa Godat JF-Expert Member Joined Jun 15, 2011 Posts 2,785 Reaction score 821 Feb 23, 2013 #8 BUMIJA said: Waziri wa Elimu amesema chanzo cha wanafunzi kufeli ni kuzibwa kwa mianya ya wizi wa mitihani,Je haya ya kweli Jf Click to expand... Sema hiyo ni factor mojawapo, lakini zipo na nyingine nyingi tu!
BUMIJA said: Waziri wa Elimu amesema chanzo cha wanafunzi kufeli ni kuzibwa kwa mianya ya wizi wa mitihani,Je haya ya kweli Jf Click to expand... Sema hiyo ni factor mojawapo, lakini zipo na nyingine nyingi tu!
BUMIJA JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 5,950 Reaction score 11,295 Feb 23, 2013 Thread starter #9 Lakini shule zingine wanaibaga
Easymutant R I P Joined Jun 3, 2010 Posts 2,564 Reaction score 1,133 Feb 23, 2013 #10 Nashindwa kuelewa kwa nn bado ni waziri hadi sasa! Sent from my nokia 3310 using JamiiForums
M Mchimbwi Member Joined Jan 6, 2013 Posts 38 Reaction score 4 Feb 23, 2013 #11 Easymutant said: Nashindwa kuelewa kwa nn bado ni waziri hadi sasa! Sent from my nokia 3310 using JamiiForums Click to expand... Haa!ndivyo nchi inavyoendeshwa ndugu yangu.yaani mpaka afe.
Easymutant said: Nashindwa kuelewa kwa nn bado ni waziri hadi sasa! Sent from my nokia 3310 using JamiiForums Click to expand... Haa!ndivyo nchi inavyoendeshwa ndugu yangu.yaani mpaka afe.
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 4,998 Feb 23, 2013 #12 Majibu mepesi mepesi katika masuala magumu!!!!