IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Wasithubutu kufanya hivyo. Mdee ni mwanasheria anazijua sheria, juu ya kuhesabu kura kuwa mambo ya kuhesabu yanaishia kituoni. Hata JK juzi alirudia kusemea sheria hiyo.
Tume kazi yao ni kuingiza kwenye computer kumbukeni hata JK alijaribu kuelezea siku anatuaga watanzania kuelekea kustaafu kwake
Wasithubutu kufanya hivyo. Mdee ni mwanasheria anazijua sheria, juu ya kuhesabu kura kuwa mambo ya kuhesabu yanaishia kituoni. Hata JK juzi alirudia kusemea sheria hiyo.
Tume kazi yao ni kuingiza kwenye computer kumbukeni hata JK alijaribu kuelezea siku anatuaga watanzania kuelekea kustaafu kwake