KAYUMBA vs St Mkapa or Kikwete

Janja PORI

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2011
Posts
825
Reaction score
246
Eti wadau wa JF watoto wanaobahatika kupitia Kayumba(shule za uma) na hawa wa St flan flan(private or english medium) je? Wanaleta Tabaka la utengano na Je Wakifika ni kweli Kayumba huishia kukimbiza? Maana statics zinaonesha Mfano UDOM, UDSM, SUA, MZUMBE, Mhimbili na UDSM, ARIS kuwa wengi wa wanafunzi ni Kayumba je? Wale wa St huendaga wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…