Kazi BOT 19 April 2012

Kazi BOT 19 April 2012

Marumeso

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2009
Posts
1,410
Reaction score
1,325
Medical Officers-Check Guardian or Daily News ya leo
 
Weka na details zote we unafikiri ni kila mmoja anaeweza kupata gazeti hilo? Wengine sie tupo huku mkoa mpya wa Katavi kwa hiyo ukiweza kila kitu huenda ikawa rahisi hata kuaply online kuliko kuleta habari nusu nusu
 
BOT ni pazuri sana kufanya kazi. ila tatizo watoto wa wavuja jasho hawapewi nafasi sawa katika kushindania ajira( equal chance in employment opportunities. ila tusichoke kujaribu kama unadhani una some qualifications.
 
Back
Top Bottom