Weka na details zote we unafikiri ni kila mmoja anaeweza kupata gazeti hilo? Wengine sie tupo huku mkoa mpya wa Katavi kwa hiyo ukiweza kila kitu huenda ikawa rahisi hata kuaply online kuliko kuleta habari nusu nusu
BOT ni pazuri sana kufanya kazi. ila tatizo watoto wa wavuja jasho hawapewi nafasi sawa katika kushindania ajira( equal chance in employment opportunities. ila tusichoke kujaribu kama unadhani una some qualifications.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.