OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ni Urais na ndio maana ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kuchaguliwa na wananchi wakati wa uchaguzi mkuu October,2015.Pamoja na kuwa Mh.Magufuli rais wa Tanzania anajitahidi lakini pengine kwa mtazamo wako kuna kazi nyingine angeifanya vizuri zaidi ya hii ya urais
Baadhi ya wadau na wachambuzi wamekuwa na wasiwasi wa namna rais anavyoshughulikia changamoto za nchi na hata vipaumbele vya nchi.
Kwa huruka zake,kwa ukali wake,kwa man to man yake,kwa "kuchomekea" kwake,kwa ubanaji wake matumizi,unadhani ni kazi gani angeifanya vizuri zaidi ya hii ya sasa?!
Angekuwa anazinguana sana na wateja wa nguoKupiga rumba, ngoma, kushona cherehani
OcsPamoja na kuwa Mh.Magufuli rais wa Tanzania anajitahidi lakini pengine kwa mtazamo wako kuna kazi nyingine angeifanya vizuri zaidi ya hii ya urais
Baadhi ya wadau na wachambuzi wamekuwa na wasiwasi wa namna rais anavyoshughulikia changamoto za nchi na hata vipaumbele vya nchi.
Kwa hurka zake,kwa ukali wake,kwa man to man yake,kwa "kuchomekea" kwake,kwa ubanaji wake matumizi,unadhani ni kazi gani angeifanya vizuri zaidi ya hii ya sasa?!
Kwa upande wangu naona angefaa zaidi kuwa "Rais"
Hivi yule mwanae kilaza Jesca issue yake ilimalizika vipi na waziri naona bado hakubadilishwa au alikua kasingiziwa?Tulisha sema Magufuli ndo aliyesubiriwa miaka mingii jamaaaa. Na anafaaa kuwanyoooshaaa hadi nyie wote mafisadi muhame inchiii.