Niambie fisadi gani ameshughulikiwa awamu hii?Kiboko ya wale mafisadi waliojinyea kule mtaaaniii!!!
Hata Mods wameileta chit chat,Watu wengi wanaichukulia hoja hii kama utani lakini ukiitazama kwa undani ni ya muhimu kitaifa.
Muheshimiwa kama angekuwa Mkurugenzi wa TANROAD kazi hiyo angeifanya kwa ufanisi sana kwani kwa uwezo wake mkubwa wa kukumbuka idadi ya kilometers za Barbara na madaraja anetufaa sana. Na humo hakuna siasa,eneo ambalo haliwezi. Urais wa kidemokrasia ni siasa na usipo iweza siasa ni sawa na Fundi muashi umuajiri kuwa daktari wa binadamu
Kuna SAA nadhani baadhi ya mods wanapiga konyagi nyingiHata Mods wameileta chit chat,