Ktk kipindi cha kipyenga cha mwisho kinachorushwa na Azam sports 1 HD, refa mkongwe Othman Kazi amefafanua kuwa mfungaji wa goli la Geita vs Yanga alikuwa ameotea. Pia, penati ya Yanga haikuwa sahihi japo walinyimwa penati nyingine ktk tukio la Ngushi kusukumwa. Tukio pa penati iliyokataliwa lilitokea sekunde chache kabla ya penati ya uongo