Ulichokiona hapo wewe ni cha Yanga tu. Hayo maelezo mengine ya goli la Geita kuwa offside na Yanga kutokupewa penalty wala hayajakuhusu au sio?Utopolo wananunua mechi daily ndio maana kimataifa wanagongwa hovyohovyo
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Tanzania kila kitu ni cha Mchongo, yaani hata Mashabiki ni wa Mchongo.Ulichokiona hapo wewe ni cha Yanga tu. Hayo maelezo mengine ya goli la Geita kuwa offside na Yanga kutokupewa penalty wala hayajakuhusu au sio?
Au na maumivu ya Arsenal unayaingiza hapo?
Nashangaa. Yameelezwa ya pande mbili, na pande moja yakisemwa mapungufu mawili, offside na kuminywa penalty, lakini yeye kaamua kukomalia moja la upande wa pili kupewa penalty maana ndo lililomuuma zaidi.Tanzania kila kitu ni cha Mchongo, yaani hata Mashabiki ni wa Mchongo.
Alisoma kichwa cha habari akiwa na akili ya kishabiki. Hivyo akili yake ilitafsiri goli la Yanga ni la offside akaishia hapo hapo hata kusoma contents hakusoma. Laiti kama angesoma angeelewa na kurudi kurudia kusoma tena kichwa cha habari kwa ufasaha.Nashangaa. Yameelezwa ya pande mbili, na pande moja yakisemwa mapungufu mawili, offside na kuminywa penalty, lakini yeye kaamua kukomalia moja la upande wa pili kupewa penalty maana ndo lililomuuma zaidi.
Wewe huko kimataifa umefanya kipi cha maana kuizidi Yanga?Utopolo wananunua mechi daily ndio maana kimataifa wanagongwa hovyohovyo
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Yanga inanunua game
Weka ushahidi wa picha mnato na picha mjongeo
Ulichokiona hapo wewe ni cha Yanga tu. Hayo maelezo mengine ya goli la Geita kuwa offside na Yanga kutokupewa penalty wala hayajakuhusu au sio?
Au na maumivu ya Arsenal unayaingiza hapo?
Wewe huko kimataifa umefanya kipi cha maana kuizidi Yanga?View attachment 2188129
Kwahiyo na wewe hilo ndilo lililokuuma?nipige basi kama unaweza,Ulichokiona hapo wewe ni cha Yanga tu. Hayo maelezo mengine ya goli la Geita kuwa offside na Yanga kutokupewa penalty wala hayajakuhusu au sio?
Au na maumivu ya Arsenal unayaingiza hapo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe huko kimataifa umefanya kipi cha maana kuizidi Yanga?View attachment 2188129
Niumie ya nini na points nimebeba na nusu fainali nimefika?Kwahiyo na wewe hilo ndilo lililokuuma?nipige basi kama unaweza,
UTOPOLO MUNANUNUA MECHI DAILY...
umia....
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Umekurupuka MkuuYanga inanunua game
Jipe mda kusoma before hauja commentUtopolo wananunua mechi daily ndio maana kimataifa wanagongwa hovyohovyo
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app