Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,384
mvua ya magoli imeanza wanyeshea chelsea.
leo ni 3 bila
leo ni 3 bila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mvua ya magoli imeanza wanyeshea chelsea.
leo ni 3 bila
\Chetuntuuuuuuuuuuuu
duuu......hali tete\
sema mkuuu napita tuuu, nachek game
Bado 1 ila inavyoelekea the blues watakula kama 5.
mkuu mpira unadunda...kazi nzurt chelsea kwa kutuvutia shati
gunners tunakuja na uchungu wa kufungwa na Birmingham
mbili moja chelsea kashindaWakuu ngapi ngapi? Tanesk...
mvua ya magoli imeanza wanyeshea chelsea.
leo ni 3 bila
Wakuu ngapi ngapi? Tanesk...
mkuu mpira unadunda...kazi nzurt chelsea kwa kutuvutia shati
gunners tunakuja na uchungu wa kufungwa na Birmingham
imekula kwako
ni kweli kaka.leo kwangu kesho kwako.
Dah! na game inayofuata sijui itakuaje Anfield. Vidic suspended,Rio Ferdinand na Evans majeruhi mlinzi pekee wa kati wa uhakika ni Smalling