Elections 2010 Kazi inayoifanya bbc ilikua inapashwa kufanywa na tbc

Elections 2010 Kazi inayoifanya bbc ilikua inapashwa kufanywa na tbc

Joined
Jan 16, 2007
Posts
721
Reaction score
178
Natoa shukrani kwa BBC kwa mchango wao katika vipindi vyao kuelekea uchaguzi kuanzia tarehe 27.10.2010.Mpaka tarehe 2.11.2010.Kwa uchambuzi wa kina na uhakika katika vipindi vyao bila ubaguzi.CCM inakimbia midahalo nini hasa sababu ya kufanya hivyo?Jibu ni kwamba Viongozi wa CCM asilimia 100 hawaifahamu sera au ilani ya CCM.Kazi inayoifanya BBC ilikua inapashwa kufanywa na TBC.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Back
Top Bottom