kazi ipo tcu mwaka huu!!!


mkuu,mim nilikua nadhan kama kozi inahitaji watu let say 100,na walio omba kama 1st choice ni 100,mimi nadhani hapo hapatakua tena competition kwa sababu watachukuliwa hao 100 walio weka kozi huska kama 1st choice na mchezo unaishia hapo!
 

Ebana eeeh!!! Naanza sala mara 7 kwa siku sasa
 

hiv mwenye one ya 8 anaweza kukosa finance udsm kweli
 
heb nisaidien jinsi ya kujua hzo idadi ya competitors kwenye coz uliyojaza
 
Mmh mi kimya nasubilia hiyo selection maana hali b'ado tete kwa vyuo nilivyo apply
 

Hali ni tete Mkuu!! ngoja tusubiri tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…