Kazi ja jwtz lini kwa proffessionals zinatoka lini????

Kazi ja jwtz lini kwa proffessionals zinatoka lini????

Ndugu tupeane taarifa kwa hilo.maana huku kitaa ni hatari sana!
 
Nafas kwa maafsa jesh watarajiwa hutangazwa mara nyng mwez wa tisa (9)...ila mtambue kuwa jwtz nao hutangaza nafas kwa form4 wenye sifa flan flan mbali na kuptia jkt.
 
Hapana,mwez huu zote zitatoka,fom zao na j.k.t zilikuwa zitoke leo ila bdo,2tajuzana
 
my ding ni mjesh mdogo wangu wa kiume 4m 4 kakataa xul anataka jesh baba kaenda ngome upanga wamemwambia either may or june bt soon.
 
Zikitoka ni kwa ajili ya watu wenye shahada za science kama MD,engineering,agriculture,quantity surveying,computer science etc.we kama ulikua ngwini sahau.over
 
Juzi ijumaa mkoa wa dar wamemalza usaili wa jwtz 4m4 na 4m6,
nikamuulza kamanda anayeratbu, akasema profesional n julai.
 
Zubeda Mchuzi hebu tupe confirmation tafadhali!...hujachangia ki2 umecheka tu!
 
Back
Top Bottom