Kazi ja jwtz lini kwa proffessionals zinatoka lini????

jamani mi naomba kuuliza hawa jamaa wanachukua profsn kuanzia level gan? maana mi nna ka diploma ka clinical officer
naeza apply hapo?
 
kuanzia std seven,bt kwa wenye elim zaid ni nzuri
 
kuna nini jipya huko mbona mnapalilia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…