Kazi Kazi kwa wauza sura

Kazi Kazi kwa wauza sura

majebsmafuru

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2017
Posts
454
Reaction score
636
Kazi nyepesi, utaonekana na kila mtu, uwe na uwezo wa kulia vizuri, sio kwa kelele sana, machozi lazima, utapewa historia ya marehemu, uwe unamtaja taja kila uliapo, malipo 20,000/- kwa siku, chakula, vinywaji na mkeka wa kulalia, dawa za mbu zipo...
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2017-05-25 at 07.44.42 (1).jpeg
    WhatsApp Image 2017-05-25 at 07.44.42 (1).jpeg
    50.2 KB · Views: 46
Vip kuhusu vyeti....au unalia tu hata kama huna cheti...........?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom