habari zenu waungwani..?naomba kufahamishwa kazi anazofanya kwa mtu aliyechukua BACHELOR OF SCIENCE IN CONSTRUCTION MANAGEMENT.
anafanya kazi sawa na civil engeneer
sio kweli
habari zenu waungwani..?naomba kufahamishwa kazi anazofanya kwa mtu aliyechukua BACHELOR OF SCIENCE IN CONSTRUCTION MANAGEMENT.
kacheki ardhi university-school of construction economics and management scem .....kwa kina zaidiukweli ni upi?
habari zenu waungwani..?naomba kufahamishwa kazi anazofanya kwa mtu aliyechukua BACHELOR OF SCIENCE IN CONSTRUCTION MANAGEMENT.
Hivi hii bachelor mbona kwenye kitabu cha guidebook cha TCU haionekani ila inaonekana ipo ktk chuo cha ardhi?
Kuwa mtu fulani haina maana kuwa unaelewa mmbo mengi isipokuwa unaweza kuelewa hayo mengi endapo utakubari kuelimishwa na wengine.ndicho nilicho fanya.
sio kweli
Hivi hii bachelor mbona kwenye kitabu cha guidebook cha TCU haionekani ila inaonekana ipo ktk chuo cha ardhi?
hii kozi kwa sasa imefutwa......so hata pale ardhi now hii kozi haina 1st wala 2nd year wapo 3rd na 4th year haijachukua wanafunzi kwa mda wa miaka miwili now..cjui kwa nini.........but kuna bachelor of science in building economics-pure quantity surveyor
hujaelewa mkuu.... Be anacover hizo zote hapo juu...tena yeye ndo zaidi ya hao ma cm wanaoingilia tuu kazi za watu.ndo maana imefutwakama qs, construction managers,consultant ni nzuri sana hii zaidi ya be
Hii kozi zamnai ilikuwa na Masters' degree tu, hii ninavyojua mimi inamuandaa mtu kuwa construction project manager, kuna hawa consultant wanaitwa PROJECT MANAGER. Ni kazi huwa inafanywa hasa na ma architect na sometime civil engineers. Kuna mdau hapo juu amesema wanafanya kazi kama engineer au architect, ni kweli hasa wakiwa wanasimamia hizi project lakini si kweli hasa tukimaanisha kufanya Archiectural design,structural design au geometrical and pavement design
Habari zenu waungwani
Naomba kufahamishwa kazi anazofanya kwa mtu aliyechukua BACHELOR OF SCIENCE IN CONSTRUCTION MANAGEMENT.
Natanguliza shukraan