Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
[emoji15] [emoji87] [emoji87]Mbona umetusahau sisi washonaji?
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Wasafisha kucha.
Hawa wanakula watoto na wake za watu kulikopitiliza. Toto likiwa halina hela linajitanua miguu mpaka unasikia harufu ya papuchi kabisa.
Wauza Chips
Hawa nao si haba. Wanawala sana watoto wa chuo pamoja na Wanafunzi. Kiepe kimoja ni nguzo nzito sana kusaka papuchi.
Umesomeka KamandaNi kweli, ndiyo maana nikasema zile zinazohesabiwa za hadhi ya chini.
Halafu ukiangalia karani ni 9 to 5 job ambayo mara zote anakutana na work mates na watu wengine ambao atmosphere ni ya kiprofessional muda wote.