Fredrick Ojija
Member
- Nov 2, 2010
- 11
- 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wadau hvi testimonial ndio inakuwaje? coz hawa jamaa wanahtah hcho k2
ahsante mkuu umenifungua kichwaTESTIMONIAL ni photocopy ya academic certificates zako but ziwe na mhuri wa mahakama ili kuthibitisha kuwa this is a copy 4rm original certificates, nowdayz taacc nyng za govt wanatumia hiyo kama kigezo cha kuitwa kwny usaili xo ifanyie kazi mkuu zen apply.nenda mahakama yoyote muone karani but kama kawa bbbongo mkono m2pu haulambwi andaa kama5000-10000 hivi,inateemea na eneo husika na roho ya huyo karani mwenyewe.best wshez