Kazi Mpya TANAPA changamkeni wale wote wenye SIFA

Zile za kwanza sijui hata simeishiaje Kama huna ndugu pande zile ni sawa sawa nakuota urais.Ila tunashukuru mkuu wacha Watu wachachalike
 
Zile za kwanza vipi wadau? Ama kweli!
 
wadau hvi testimonial ndio inakuwaje? coz hawa jamaa wanahtah hcho k2
 
Tusikate tamaa bandugu,huwezi jua utatokea wapi jiwe gizani likitupwa,
 
Aisee na huku aletwe Muhongo mambo yaende fresh tumechoka kutuma cv kila siku wkt vigogo washawapa watoto zao na mshemeji zao!
 
wadau hvi testimonial ndio inakuwaje? coz hawa jamaa wanahtah hcho k2

TESTIMONIAL ni photocopy ya academic certificates zako but ziwe na mhuri wa mahakama ili kuthibitisha kuwa this is a copy 4rm original certificates, nowdayz taacc nyng za govt wanatumia hiyo kama kigezo cha kuitwa kwny usaili xo ifanyie kazi mkuu zen apply.nenda mahakama yoyote muone karani but kama kawa bbbongo mkono m2pu haulambwi andaa kama5000-10000 hivi,inateemea na eneo husika na roho ya huyo karani mwenyewe.best wshez
 
Jamani nimeliona hili leo lakini sioni tarehe, can somebody help ili kujua hizo siku 21 zinaisha lini ??
 
mshahara wa tanapa hiyo TNPSS D NI SH NGAPI KABLA YA MAKATO WAKUUU?
 
ahsante mkuu umenifungua kichwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…