Kitaaa ni kigumu kwa vijana zaidi ya watawala wanavyodhaniKama ni graduate endelea hapo huku ukitafuta michongo mingine
Lakini laki kwa mwezi utahangaika sana na morale ya kazi itaisha kabla ya miaka 5
Umesomea nini
Naamini kabisa maneno yakoKitaaa ni kigumu kwa vijana zaidi ya watawala wanavyodhani
Ashinde anaundugu na muhindi?Hiyo laki ibetie,tafuta odds 60 weka mzigo,unakuwa umepata pesa ya miaka mi5 kwa siku 1 tu.amini nakuambia !
graduate wa kozi ganiWakuu naombeni ushauri,
Mimi ni graduate lakini nilikua nimejiajiri mpaka mtaji ulipofilisika.
Sasa hivi nimeajiliwa kiwanda cha nondo, nafanya kazi ngumu sana na tena nimepangiwa shift ya usiku.Kwa kweli hii kazi naichukia sana sema shida sina jinsi.
Baada ya kufanya matumizi yote ya muhimu,ndani ya mwezi huwa naweka akiba laki moja.Malengo yangu nikufanya kazi apa kwa muda wa miaka 5 ili nipate mtaji wakutosha na pesa ya kuolea.
Tatizo kila siku inakuja roho ya kukata tamaa,huku mawazo mengine yanasema nikipata ata laki tano niache kazi.
Je wakuu,nikisema nivumilie kwa muda wa miaka 5,ili niondoke na million 5,sitakua nimejichelewesha maisha?.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwaio unadunduliza hela ili ukaoe daah aisee..kweli mtu ni familia aliyozaliwa, shule alizosoma, walimu waliomfundisha, marafiki alioambatana nao...
Bado hausevu kitu mkuu,work done is equal to zeroMimi nnauwezo wa kusave ata laki nne kwa mwezi lakn jinsi sinavyoondoka ata sielewi kila mwezi naanza upya