Rais wetu Dkt. Suluhu Hasan tunazidi kukupongeza kwa maono yako, makusudi nadhamira ambayo umeonesha kwa kipindi hiki kifupi cha utawala wako kwa kufanya jambo lililo shindikana tangu nchi ipate uhuru.
Mwangaza wa kutupatia umeme Wilaya ya Kishapu kuipitia REA/Tanesco umeonekana. Suma JKT pamoja na hali mbaya ya kijiografia ikiwemo mvua za mafuriko, barabara kukatika, mabonde kujaa maji na majaruba ya mipunga kujaa maji wanajeshi hawa wanaendelea kujenga Mradi wa umeme vijijini Wilaya Kishapu.
Pasipo na barabara nguzo zinabebwa vifuani pasipopitika magari pikipiki zatumika na mikokoteni. Aidha, tunakushukuru Rais kwa kutuongezea wigo wa mtandao wa umeme wa kilomita moja kwa Kila Kijiji kuongezakilomita mbili zaidi jumla kuwa kilomita tatu.
Mama Samia usikate tamaa umetukomboa tunakuunga mkono hatutakuangusha.Wanajeshi wetu pamoja na matatizo ya kijiografia na tabia nchi tuko pamoja nanyi. Aidha, TANESCO msichoke kutuhudimia maana bila nyie tusingepata huduma hizi.
Mwangaza wa kutupatia umeme Wilaya ya Kishapu kuipitia REA/Tanesco umeonekana. Suma JKT pamoja na hali mbaya ya kijiografia ikiwemo mvua za mafuriko, barabara kukatika, mabonde kujaa maji na majaruba ya mipunga kujaa maji wanajeshi hawa wanaendelea kujenga Mradi wa umeme vijijini Wilaya Kishapu.
Pasipo na barabara nguzo zinabebwa vifuani pasipopitika magari pikipiki zatumika na mikokoteni. Aidha, tunakushukuru Rais kwa kutuongezea wigo wa mtandao wa umeme wa kilomita moja kwa Kila Kijiji kuongezakilomita mbili zaidi jumla kuwa kilomita tatu.
Mama Samia usikate tamaa umetukomboa tunakuunga mkono hatutakuangusha.Wanajeshi wetu pamoja na matatizo ya kijiografia na tabia nchi tuko pamoja nanyi. Aidha, TANESCO msichoke kutuhudimia maana bila nyie tusingepata huduma hizi.