"kazi ni nzuri kuliko mshahara"

"kazi ni nzuri kuliko mshahara"

Mbugi

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,488
Reaction score
257
Kuna rafiki yangu aliitwa kwenye usaili na mara alipomaliza offisi iliona anafaa na hivyo kumwajili, siku ya kwanza tu ya kuriport kazi alipaswa kusema angependa alipwe sh ngapi kama mshahara wake. aliishia kusema anachojua yeye kapata kazi na kuwa haoni kipi kinazidi kazi na kuwataka mgt waamue wao watamlipa bei gani.

kweli "KAZI NZURI KULIKO MSHAHARA"
 
Asije badae akaanza kulia lia kwamba yeye analipwa kidogo anaonewa wenzake wanalipwa vizuri. Maana mimi kama muajiri akija House girl akisema nimlipe chochote nampa 2000 kwa mwezi.
 
Ukisota sana mtaani lazima uje na jibu kama hilo kivyovyote...baada ya miezi ya probation nadhani akili itamkaa sawa.
 
Ukisota sana mtaani lazima uje na jibu kama hilo kivyovyote...baada ya miezi ya probation nadhani akili itamkaa sawa.

Mkuu Sizinga hii ilishawahi kunikuta ndugu yangu.....kwani hata muda wa Probation uliisha basi? nilipogundua tu wenzangu wanalipwa kiasi gani.....niliumia sana na kujilaumu kwa nini nilisema nilipwe chochote......hii ilikuwa ni baada ya kusota mtaani bila kazi kwa muda mrefu...nilikuwa mpole, Alipokuja HR mpya ndio mambo yalibadilika baada ya kupia file langu!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom