Kazi ninazoziona anazofanya mbunge wa Kawe, Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima

Kazi ninazoziona anazofanya mbunge wa Kawe, Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima

FACEU

Member
Joined
Jan 14, 2022
Posts
17
Reaction score
4
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
1000037956.jpg
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Umelipwa kiasi gani na huyo tapeli kuja kuandika uwongo wa kumjenga humu?
 
ili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.
Chawa a.k.a kunguni
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Jamaa ni habitual liar.
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Bwana Gwajima unakumbuka shuka asubuhi, rodi to 2025
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.

Toa kwanza ujinga wako uliojaa tumboni mwako halafu uandike upya kumhusu huyo MTU wako
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Hoja ipi? pale Bungeni anapitishaga tozo au hapitishi?
 
Jamaa yangu utapigwa Mawe sana kwa hichi ulichokiweka Ila ungefanya Jambo moja nadhani wengi wangemwaga pongezi,

Karne tuliyopo watu wanaamini kwa kuona na kusikia, kuona aidha picha au Video na kwa kusikia kile anatamka kwamba hapa Shule ya Msingi J Gwajima nimejenga kwa Pesa zangu na kuthibitisha hilo cheque za bank hizi hapa wamekwangua kiasi kadhaa kwenye akaunti yangu,

Piga picha sehemu zote alizoziletea maendeleo chukua videos njoo uzimwage JF hakika nakuhakikishia kila mtu atakusifu na kumsifu unaemsifia

Sasa wewe ndugu yangu unakuja na content haijashiba content haijajitosheleza utaishia kuitwa Chawa utaishia kuambiwa unajipendekeza utaishia kuambiwa umetumwa,

Emu fanya nilichokwambia alafu uje ufanyie updates hili Andiko lako au ufungue uzi mwingine wenye mtiririko mzuri wa Picha zenye kuonyesha before and after ukimuelezea vizuri Ndugu Mhe J Gwajima nini alichowafanyia wana Kawe kwa kipindi chote alichokua km Mbunge wao mpaka sasa

Ni nini amekifanya ambacho wana Kawe wakikaa wanabakia kumkumbuka na kujisemea hata km hajatupeleka Birmingham na kutuletea Boti za kisasa za Uvuvi km alivyotuahidi kipindi kile cha kampeni Ila hakika Gwajima ametuachia alama hii
 
Binafsi sizani kama kweli hizo sifa anasifika nazo Gwaj Boi
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Acha kutuletea maneno ya kiupupu.
Barabara nyingi zimeharibika mitaani mbona hatumuoni.
Maji hadi waziri kaingilia hatumuoni.
Kura hatumpi jimbo la kawe either lisu au mdeeeee

over
 
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa chanzo cha mabadiliko ya watu wengi kiroho na kimwili kwa kweli MUNGU yupo ndani yake. Naweza kusema kwamba wananchi wa Kawe wamepata bahati sana. Unaweza ukawa unawaza ni bahati gani wameipata, ngoja nikufafanulie.

Mosi, ni moja kati ya wabunge wachache sana mwenye muda mwingi wa kujumuika na kushiriki katika shughuli za maendeleo na wananchi wake. Ni ni mbunge ambaye anatumia muda mwingi sana kuwa na wanajimbo, pia kila wakati utamkuta eneo la jimbo lake akifanya kazi bega kwa bega na wananchi wake.

Pili, ni moja kati ya wabunge mwenye moyo wa kujitoa kifedha na nguvu kwa wananchi wake. Ikumbukwe mbunge analipwa mshahara wake kila mwezi. Ukiona kuwa mbunge anatoa pesa ya mshahara wake kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya maendeleo, huyo ni moyo wa kujitoa ambao wanao wachache.

Tatu, ni mjenga hoja mzuri na ana namna yake ya kusimamia hoja vizuri. Ni mbunge ambaye akisimama bungeni hutamani akae haraka, kwa kifupi hachoshi. Hakuna hoja ambayo ataisema itaonekana haina maana kwa taifa hata kwa jimbo lake. Hoja zake zina mashiko sana na manufaa sana. Naweza kusema kuwa wana Kawe huyo ndiye kiongozi sasa.

Nne, ni mwenye msimamo na asiye teteleka kwenye kile anachoambiwa. Ni mbunge asiyeamini katika umaskini. Ukiwa na kiongozi ambaye anahubiri umasikini na kujisifia huyo si kiongozi atakayekufikisha kunakotakiwa. Kuwa na kiongozi mwenye msimamo usioyumbishwa ni vizuri. Kawe isimuachie kiongozi huyu wa thamani.

Hayo ni machache tu kati mengi mazuri ambayo nikiyasema hapa nitakesha.
Amekupa bei gani
 
Back
Top Bottom