Kazi nje ya Tanzania

pettymarcel

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2012
Posts
2,161
Reaction score
880
Sory kama mtu anataka kutafuta job nje ya tz let say kenya or uganda au dubai ni vigezo gan hasa natakiwa kuwa navyo mbali na elimu niliyonayo? Tanzania urasimu mwingi nataka nijaribu japo kwa majiran zetu thanx
 
1) At least uwe na degree ya kwanza

2) Kama unaomba kwenye NGO, lazima uwe na experience ya kufanya kazi kwenye NGO kwa muda usiopungua miaka mitatu

3) Pia inategemea fani yako. Kuna waTZ kibao wanafanya kazi nje kwenye migodi (DR Congo, Mauritania etc) ingawa hawana degree - uzoefu kwenye kazi tu.
 
Jifunze kuandika kichwa cha habari kulingana na kile unachotaka kueleza hiyo pia itakusaidia kupata kazi popote unapotaka.
 
Mara nyingi uzoefu au ujuzi wa kitu fulani huwa kinakufanya uweze kupata kazi. Hii inategemeana na jinsi unavyojinadi kwa wale waliozitangaza hizo nafasi za kazi.

Pia jitahidi kuapply maana huwezi kukaa tu bila kuapply.
 
Communication skills, and ability to deliver!
 
Cha muhimu zaidi ni kwenda huko nje, halafu ukaombe kazi.
 
not easy, umeshidnwa kupata kazi bongo ndio upate nje ya nchi?! i love bongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…