Kazi waliyopiga wachezaji wa Yanga kwenye mechi 2 timu ya taifa napenda nijue walichomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa timu ya taifa?

Kazi waliyopiga wachezaji wa Yanga kwenye mechi 2 timu ya taifa napenda nijue walichomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa timu ya taifa?

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Vijana Dicksoni Job, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Clement Mzize walipiga kazi ya uhakika wakiwa na pumzi Ile Ile mwanzo mwisho mpaka nikajiuliza Hawa wamechomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa kama tulivyoaminishwa na wajinga wachache ama imekuwaje?

Pumzi za hao wachezaji na fitness zao zilikuwa kwenye level ya juu sana, Bacca na Job walikuwa wanakwenda kusaidia kwa Kapombe na Mohamed Hussein pindi kulipotokea hatari na bado wakawa na uwezo wa kuzima hatari zote pale katikati!

Ningependa tuambiwe ni mabomba mangapi ya sindano yalitumika kuwaongezea Hawa vijana nguvu za kucheza dk zote bila kuchoka wakiwa timu ya taifa!

Soma Pia: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

N;B siku zote mchawi sio mpaka aruke na ungo bali ata wivu na roho mbaya ya maendeleo ya mwenzako ni uchawi tosha!
 
D45DC216-DE28-41A8-9536-13ED155C1007.jpeg
 
Vijana Dicksoni Job, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Clement Mzize walipiga kazi ya uhakika wakiwa na pumzi Ile Ile mwanzo mwisho mpaka nikajiuliza Hawa wamechomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa kama tulivyoaminishwa na wajinga wachache ama imekuwaje?

Pumzi za hao wachezaji na fitness zao zilikuwa kwenye level ya juu sana, Bacca na Job walikuwa wanakwenda kusaidia kwa Kapombe na Mohamed Hussein pindi kulipotokea hatari na bado wakawa na uwezo wa kuzima hatari zote pale katikati!

Ningependa tuambiwe ni mabomba mangapi ya sindano yalitumika kuwaongezea Hawa vijana nguvu za kucheza dk zote bila kuchoka wakiwa timu ya taifa!

Soma Pia: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

N;B siku zote mchawi sio mpaka aruke na ungo bali ata wivu na roho mbaya ya maendeleo ya mwenzako ni uchawi tosha!
Acha uboya..walikuwa wanacheza peke yao?
 
Eti mwanzo mwisho, huyo bodaboda alifika mwisho upi?
 
Vijana Dicksoni Job, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Clement Mzize walipiga kazi ya uhakika wakiwa na pumzi Ile Ile mwanzo mwisho mpaka nikajiuliza Hawa wamechomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa kama tulivyoaminishwa na wajinga wachache ama imekuwaje?

Pumzi za hao wachezaji na fitness zao zilikuwa kwenye level ya juu sana, Bacca na Job walikuwa wanakwenda kusaidia kwa Kapombe na Mohamed Hussein pindi kulipotokea hatari na bado wakawa na uwezo wa kuzima hatari zote pale katikati!

Ningependa tuambiwe ni mabomba mangapi ya sindano yalitumika kuwaongezea Hawa vijana nguvu za kucheza dk zote bila kuchoka wakiwa timu ya taifa!

Soma Pia: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

N;B siku zote mchawi sio mpaka aruke na ungo bali ata wivu na roho mbaya ya maendeleo ya mwenzako ni uchawi tosha!
Huna akili

Kusoma hujui hata video na picha hukuziona za masindano?
 
Hebu Madaktari waje wamletee mleta uzi majibu kwamba mtu akitumia hizo sindano inachukua muda gani mpaka zipungua nguvu yake?

Na je mtu akishakua mtumiaji wa hizo sindano akawa na arosto nazo anaweza kufanya kazi ngumu bila hizo sindano?

Au ndo anakua anajidunga bihaindi ze sini kama vile alivyokua anafanya Paul Labile Pogba.
 
Vijana Dicksoni Job, Ibrahim Bacca, Mudathir Yahya na Clement Mzize walipiga kazi ya uhakika wakiwa na pumzi Ile Ile mwanzo mwisho mpaka nikajiuliza Hawa wamechomwa sindano za kuongeza nguvu wakiwa kwenye kambi ya timu ya taifa kama tulivyoaminishwa na wajinga wachache ama imekuwaje?

Pumzi za hao wachezaji na fitness zao zilikuwa kwenye level ya juu sana, Bacca na Job walikuwa wanakwenda kusaidia kwa Kapombe na Mohamed Hussein pindi kulipotokea hatari na bado wakawa na uwezo wa kuzima hatari zote pale katikati!

Ningependa tuambiwe ni mabomba mangapi ya sindano yalitumika kuwaongezea Hawa vijana nguvu za kucheza dk zote bila kuchoka wakiwa timu ya taifa!

Soma Pia: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

N;B siku zote mchawi sio mpaka aruke na ungo bali ata wivu na roho mbaya ya maendeleo ya mwenzako ni uchawi tosha!
Hao ni wa hapa! Bado hujawataja wengine. Mfano Djugui Diarra, Khalid Aucho, Prince Dube, Kennedy Musonda, Clotus Chama, nk!! Na wote hao wamecheza vizuri tu kwenye timu zao na pia kuzisaidia kufuzu Afcon!!

Mwisho wa siku ndiyo utakuja sasa kugundua aliyewaita mbumbumbu wale viumbe wa ile timu fulani; hakika aliwaza mbali sana.
 
Hao ni wa hapa! Bado hujawataja wengine. Mfano Djugui Diarra, Khalid Aucho, Prince Dube, Kennedy Musonda, Clotus Chama, nk!! Na wote hao wamecheza vizuri tu kwenye timu zao na pia kuzisaidia kufuzu Afcon!!

Mwisho wa siku ndiyo utakuja sasa kugundua aliyewaita mbumbumbu wale viumbe wa ile timu fulani; hakika aliwaza mbali sana.
Wazee waliotutangulia kuliona jua tuwaheshimu, Mzee Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu watu wake Kuna kitu alikiona kwa jicho la tatu!
 
Hao walisha chomwa sindano za msimu mzima kwahiyo mechi yoyote wanacheza kwa kiwango kile kile.
Si umewahi sikia kwamba ukivuta bangi inakaa miaka Saba😀,ndicho wanacho fanya hao vijana wa "jiesiemu"
 
Back
Top Bottom