KAZI YA Kusambaza Viperushi (Distribution of Brochures/Fliers)

saq

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
268
Reaction score
12
Tunahitaj. vijana wanao veza ku sambaza viperushi.
AU
Kama kampuni wanayo fanya kazi hii.

Plz message me !
 
Ninyi ni kina nani?
Kusambaza maeneo gani ya Tanzania?
Kusambaza kwa njia gani?
Kusambaza kwa aina mfumo upi wa malipo (% of sales au)?
Mnahitaji vijana wangapi?
Naomba ujibu hayo maswali kisha tupate mwanga.
 
Tunahitaj. vijana wanao veza ku sambaza viperushi.
AU
Kama kampuni wanayo fanya kazi hii.

Plz message me !
Ninavijana wangu wanafanya michezo ya baiskeli ni njia pekee na nzuri ya usambazaji vipeperushi katika mazingira yoyote,ufanisi na uzoefu wa hali ya juu, ni vijana wadogo wachapakazi na wenye nguvu.

Kama kweli unahitaji ufanisi kwenye kazi yako nakushauri uwatumie hawa vijana.
maranyingi huwa wanatumika na makampuni makubwa ya vinywaji na simu

Kwa mawasiliano

Email titusjulius89@gmail.com
Simu 0712494761 View attachment 64180 WAPO WANNE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…