Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Hivi wakuu,
Ndo kwa mfano una shida kubwa ya ajira, na wewe umesoma hadi elimu ya juu.
Umezunguka muda mrefu kusaka ajira ukakosa.
Mara paaap, ukapata mchongo kwenye kampuni ya usafi jijini ktk kitengo cha kuzibua vyoo, alafu unaambiwa mshahara ni million moja kwa mwezi alafu mkataba unapewa wa miaka mitano.
Wakati unawaza kusaini mkataba huo ili uurudishe, unapigiwa simu ktk kampuni fulani kubwa uliyoomba kazi. Unaambiwa umepewa kazi ktk kampuni hiyo, kwenye ofisi nzuri zenye kiyoyozi ila mshahara ni laki tano kwa mwezi. Pia unapewa mkataba wa miaka mitano.
Wewe ungechagua ipi?
Mimi ningechagua kuzibua vyoo tu. Najua wale mabishoo na watoto wa mama wengi wangechagua kwenye kiyoyozi.
Ndo kwa mfano una shida kubwa ya ajira, na wewe umesoma hadi elimu ya juu.
Umezunguka muda mrefu kusaka ajira ukakosa.
Mara paaap, ukapata mchongo kwenye kampuni ya usafi jijini ktk kitengo cha kuzibua vyoo, alafu unaambiwa mshahara ni million moja kwa mwezi alafu mkataba unapewa wa miaka mitano.
Wakati unawaza kusaini mkataba huo ili uurudishe, unapigiwa simu ktk kampuni fulani kubwa uliyoomba kazi. Unaambiwa umepewa kazi ktk kampuni hiyo, kwenye ofisi nzuri zenye kiyoyozi ila mshahara ni laki tano kwa mwezi. Pia unapewa mkataba wa miaka mitano.
Wewe ungechagua ipi?
Mimi ningechagua kuzibua vyoo tu. Najua wale mabishoo na watoto wa mama wengi wangechagua kwenye kiyoyozi.