Kazi ya ualimu yataka moyo

Kazi ya ualimu yataka moyo

nyilaegenge

Senior Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
198
Reaction score
105
mpk sasa sijapata mshahar kisa tu nimetumia crdb, kwend kwenyew mjn tsh 15elfu kwa pikpik huku shule nina zamu,nasimamia mitihani huku kusahihisha brn du,mwl. mimi...wadau nioneshen njia nitoke...
 
ulchagua crdb mwenyewe sasa kwa nini unalialia cheki wenzako wa nmb wamekula salar kitambo
 
mpk sasa sijapata mshahar kisa tu nimetumia crdb, kwend kwenyew mjn tsh 15elfu kwa pikpik huku shule nina zamu,nasimamia mitihani huku kusahihisha brn du,mwl. mimi...wadau nioneshen njia nitoke...

njia rahisi ya kutoka ni kuacha kazi
 
badili mtazamo mwalimu uwalimu si mbaya tumia ajira yako kama security ya maisha yako ya badae na mwezi siku na mwaka jiongeze ukikalia kulalama utalalama mpaka ustafu

OPEN UR EYES.
 
badili mtazamo mwalimu uwalimu si mbaya tumia ajira yako kama security ya maisha yako ya badae na mwezi siku na mwaka jiongeze ukikalia kulalama utalalama mpaka ustafu

OPEN UR EYES.
Ushauri mzuri kaka umempa maana kuna waalimu wengine huwa wanalalamika kwa mazoea kwa kuwa tangu enzi waliotangulia walikuwa wanalalamika, kama mishahara sekta zote ni sawa sema wao wanasiasa wanawatumia kama tool ya kuombea kura hivyo neno la mwalimu kunyanyaswa linakuwa sehemu ya maisha yake wakati kuna watu wanateseka pia kwenye sekta zingine sema hazigusi watu wengi hivyo ma-opportunistic (wanasiasa) hawapigi sana kelele lakini kwa waalimu wanajua kila kijiji,/mtaa na kata lazima kuwe na walimu.

Kipindi hiki ndio cha kutafuta uzoefu huku anapiga hesabu ya hata kufungua kituo cha mtihani kwa kushirikiana na wenzake maana hata akipiga kelele tayari ameshakuwa mwalimu pia changamoto za waalimu hata kabla ya kuchukua fomu ya kuingia chuo zinajulikana (afikirie way forward sasa hivi)
 
simiyu / itilima mbona town kaka, unasema pikipiki 15,000 au wamekuona una hela nyingi kwa kuwa umenona (tarafa gani/kijiji/kata), hapo kila siku magari yanapita kwenda bariadi

rung'wa karb na serengeti porini.
 
Ushauri mzuri kaka umempa maana kuna waalimu wengine huwa wanalalamika kwa mazoea kwa kuwa tangu enzi waliotangulia walikuwa wanalalamika, kama mishahara sekta zote ni sawa sema wao wanasiasa wanawatumia kama tool ya kuombea kura hivyo neno la mwalimu kunyanyaswa linakuwa sehemu ya maisha yake wakati kuna watu wanateseka pia kwenye sekta zingine sema hazigusi watu wengi hivyo ma-opportunistic (wanasiasa) hawapigi sana kelele lakini kwa waalimu wanajua kila kijiji,/mtaa na kata lazima kuwe na walimu.

Kipindi hiki ndio cha kutafuta uzoefu huku anapiga hesabu ya hata kufungua kituo cha mtihani kwa kushirikiana na wenzake maana hata akipiga kelele tayari ameshakuwa mwalimu pia changamoto za waalimu hata kabla ya kuchukua fomu ya kuingia chuo zinajulikana (afikirie way forward sasa hivi)


well said!! Tena kwa upande wa mshahara walimu wanamshahara mkubwa kuwazidi baadhi ya watumishi wengine,mfano mwalim mwenye degree anayeanza kaz kwa scale ya TGTS D mshahara wake ni mkubwa zaidi ya mtumishi mwenye degree ya social sciences ambaye siyo mwalimu anayeanza kaz kwa scale ya TGS D
 
mpk sasa sijapata mshahar kisa tu nimetumia crdb, kwend kwenyew mjn tsh 15elfu kwa pikpik huku shule nina zamu,nasimamia mitihani huku kusahihisha brn du,mwl. mimi...wadau nioneshen njia nitoke...
afu hiyo mitihani ya BRN pumbavu kabisa, watunge wao afu kusahahisha wanawaachia walimu mashuleni bila hata posho, na hela wamekula wao, ujinga kabisa huu, kwa mtindo huu sijui kama hiyo BRN itakuwa implemented vizuri mana mapokeo yameshakuwa hasi,inakera sana
 
dah wakati mwenzako ualimu kwangu raha ajabu, sijawah kuacha kupata salary tangu niajiriwe, acha kulalamika ndugu ualimu raha na kama huamini jaribu kuwa kondakta, dereva ndo utajua maisha ni kupambana
 
mpk sasa sijapata mshahar kisa tu nimetumia crdb, kwend kwenyew mjn tsh 15elfu kwa pikpik huku shule nina zamu,nasimamia mitihani huku kusahihisha brn du,mwl. mimi...wadau nioneshen njia nitoke...

hiyo brn mnalipwa au bure?
 
Jaribu kuwa mlinzi ndio utajia raha ya kazi..kuna kampuni ya ukinzi inahitaji watu kama unataka ni pm nkuunganishe
 
ualimu unataka maini na figo pia sio moyo peke yake
 
mpk sasa sijapata mshahar kisa tu nimetumia crdb, kwend kwenyew mjn tsh 15elfu kwa pikpik huku shule nina zamu,nasimamia mitihani huku kusahihisha brn du,mwl. mimi...wadau nioneshen njia nitoke...

badilisha account pokelea mshahara NMB pole...
 
Back
Top Bottom