Kazi ya usalama wa taifa ni takatifu kuliko upadri ushehe na uinjilisti

Kazi ya usalama wa taifa ni takatifu kuliko upadri ushehe na uinjilisti

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
1. Imagine usalama wa taifa wanalinda taifa linaloonekana lenye ardhi na roho za watu alizoziumba Mungu.

2. Dini kwa maana ya mashehe mapadri na wachungaji wanalinda roho Imani upepo visivyoonekana na vitu ambavyo havipo ni Imani tu kwamba vipo ila havipo.

3. Taifa likichafuka lawama ni kwa usalama wa taifa hata wenye dini wataulaumu usalama wa taifa na WALA hawatajilaumu wenyewe wenye dini na Imani zao.

4. Usalama wa taifa na walinda nchi wakipoteza kwenye mission adhabu yao ni kifo pengine cha kikatili sana ila viongozi wa dini hawana adhabu hiyo.

Tuheshimu walinzi wetu wanaoonekana na wasio onekana.

Superbug
 
Mlinzi wa kweli ni Mungu tu
Haijawahi kupingwa enzi na enzi ! Hii dhana Yako ila ukiiona Tanzania USA INDIA NEPAL ITALY LESOTHO MALAWI SUDANI KSN NK jua Kuna damu ilimwagwa ndio Hilo taifa likawepo.
 
Sawa! Sema Usalama wa Taifa imeharibiwa na siasa lakini ni Taasis moja nyeti kwa nchi yetu.
 
Hao wa hii nchi ni vichwa mbupu
Leo wakiulizwa watoe intel za Kagame au Museveni hawajui chochote
Wakati Kagame na Museveni wanajua nje ndani kinachoendela hapa

Walikuwa wengi ndani humu wanatuchora, ndio maana wanajua hatuna uwezo wa kupingana vita huko congo leo hii
Hao vichwa mbupu walikuwa wapi kujua hawa



1741217397602.png
 
Back
Top Bottom