YOUR ATTORNEY
Member
- Feb 28, 2025
- 14
- 32
Mimi ni Mwanasheria (Wakili), wa Mahakama Kuu na Mahakama zote za chini. Uzoefu miaka 5+
Jinsia - Mwanaume
Maeneo ya ubobevu ni: -
Masuala yote ya Ardhi,
Mirathi na Ndoa,
Kazi na Ajira,
Mkataba na Biashara (makampuni),
Usuluhisi na Uendeshaji Kesi mahakamani,
Uandaaji nyaraka za kimahakama na kisheria na Utekelezaji Hukumu za Mahakama na Haki za binadamu.
Kadhalka ni Kamishna wa viapo na uthibitishaji nyaraka.
Napatikana Dar-Es-Salaam, ingawa Inawezekana kutoa huduma mahali popote Tanzania bara.
Karibuni tusaidiane kwa wenye changamoto kwenye maeneo hayo niliyoyataja.
Pia Niko tayari kwa Retainership kwa taasisi au kampuni zilizo tayari.
Email yangu ni logicm07@gmail.com
Jinsia - Mwanaume
Maeneo ya ubobevu ni: -
Masuala yote ya Ardhi,
Mirathi na Ndoa,
Kazi na Ajira,
Mkataba na Biashara (makampuni),
Usuluhisi na Uendeshaji Kesi mahakamani,
Uandaaji nyaraka za kimahakama na kisheria na Utekelezaji Hukumu za Mahakama na Haki za binadamu.
Kadhalka ni Kamishna wa viapo na uthibitishaji nyaraka.
Napatikana Dar-Es-Salaam, ingawa Inawezekana kutoa huduma mahali popote Tanzania bara.
Karibuni tusaidiane kwa wenye changamoto kwenye maeneo hayo niliyoyataja.
Pia Niko tayari kwa Retainership kwa taasisi au kampuni zilizo tayari.
Email yangu ni logicm07@gmail.com