Kazi za Hotelini Zanzibar

Kazi za Hotelini Zanzibar

Chiclette

Senior Member
Joined
Feb 17, 2024
Posts
133
Reaction score
222
Habarini Wana JF.

Swali langu ni kwamba muhitimu wa kidato Cha sita ambaye hajasoma course yoyote ya hospitality Yani mambo ya hotel na housekeeping anaweza para temporary job hotelini?

Mfano waiter? Au usafi? Maana nimesikia watu wengi wakizipata hizo kazi huku Zanzibar.


Mimi ni kijana wa miaka 22, hivyo basi nakuja mbele yenu kuomba kama Kuna mtu yoyote anaeijua hoteli inayopokea watu wa sifa tajwa hapo juu naomba unijulishe.

Niko tayari hata kufanya hiyo kazi bila malipo ila nipatiwe chakula na malazi tu...

Maana nimekuja huku Zanzibar kwa kazi ya ulinzi ila naona inanishinda, chakula hawatoi kama walivosema, pia kazi ni ngumu sana nahisi waliowahi kulinda wanaelewa.

Sasa Kuna mlinzi mmoja ndo akanipa wazo la kujitolea kwenye mahoteli.

Hivyo basi naomba sana sana sana msaada wenu, English yangu ni nzuri tu hata hapa kwenye ulinzi Mimi ndo natumika kuwasiliana na huyu boss mzungu.

Msaada wenu ni WA muhimu. Natanguliza shukrani.
 
Habarini Wana JF.

Swali langu ni kwamba muhitimu wa kidato Cha sita ambaye hajasoma course yoyote ya hospitality Yani mambo ya hotel na housekeeping anaweza para temporary job hotelini?

Mfano waiter? Au usafi? Maana nimesikia watu wengi wakizipata hizo kazi huku Zanzibar.


Mimi ni kijana wa miaka 22, hivyo basi nakuja mbele yenu kuomba kama Kuna mtu yoyote anaeijua hoteli inayopokea watu wa sifa tajwa hapo juu naomba unijulishe.

Niko tayari hata kufanya hiyo kazi bila malipo ila nipatiwe chakula na malazi tu...

Maana nimekuja huku Zanzibar kwa kazi ya ulinzi ila naona inanishinda, chakula hawatoi kama walivosema, pia kazi ni ngumu sana nahisi waliowahi kulinda wanaelewa.

Sasa Kuna mlinzi mmoja ndo akanipa wazo la kujitolea kwenye mahoteli.

Hivyo basi naomba sana sana sana msaada wenu, English yangu ni nzuri tu hata hapa kwenye ulinzi Mimi ndo natumika kuwasiliana na huyu boss mzungu.

Msaada wenu ni WA muhimu. Natanguliza shukrani.
Kuna group la ajira za mahotelin Zanzibar weka number nitumie admin aku add
 
Ndugu yangu katika imani..
Nakuhusia wewe na kuihusia nafsi yangu..

Achana na story za kwenda Zanzibar
Achana nazo..
Achana nazo..

Kwa sasa upo wapi?
 
Habarini Wana JF.

Swali langu ni kwamba muhitimu wa kidato Cha sita ambaye hajasoma course yoyote ya hospitality Yani mambo ya hotel na housekeeping anaweza para temporary job hotelini?

Mfano waiter? Au usafi? Maana nimesikia watu wengi wakizipata hizo kazi huku Zanzibar.


Mimi ni kijana wa miaka 22, hivyo basi nakuja mbele yenu kuomba kama Kuna mtu yoyote anaeijua hoteli inayopokea watu wa sifa tajwa hapo juu naomba unijulishe.

Niko tayari hata kufanya hiyo kazi bila malipo ila nipatiwe chakula na malazi tu...

Maana nimekuja huku Zanzibar kwa kazi ya ulinzi ila naona inanishinda, chakula hawatoi kama walivosema, pia kazi ni ngumu sana nahisi waliowahi kulinda wanaelewa.

Sasa Kuna mlinzi mmoja ndo akanipa wazo la kujitolea kwenye mahoteli.

Hivyo basi naomba sana sana sana msaada wenu, English yangu ni nzuri tu hata hapa kwenye ulinzi Mimi ndo natumika kuwasiliana na huyu boss mzungu.

Msaada wenu ni WA muhimu. Natanguliza shukrani.
Huyo alyekupatia wazo la kujitolea ungejaribu kumtumia pia akuongoze. Lakini kwa kukusaidia kazi pekee unayoweza kupata hotelini bila kusomea ni dishwasher ( Steward) Ama upate housekeeping na hili kuipata hiyo inabidi wakuhurumie sana manake sera ya trainee kwa Zanzibar imebadilika kwa kiwango kikubwa mno. Kwanza ili uweze kuchukuliwa kama Trainee lazima uombe nafasi kupitia wizara ya utalii na mali Kale na ulipie kiasi cha shilingi laki moja ( Hii kama umetoka bara) lakini pia hoteli itayokuchukuwa inatakiwa kukulipa mshahara na kukatia bima ya afya hivo unaweza kuona ugumu ulipo kulingana na bajeti.
Kuna mahali umesema mshahara wa kwenye kazi ya ulinzi ni mdogo, ninachofahamu kima cha chini cha mshahara Zanzibar ni 300k na ndiyo hiyo utakayolipwa hata huko hotelini. Ahueni kidogo utakayopata ni pale utakapo pata hotel inayotoa huduma ya kulala kwa wafanyakazi wake.

Ushauri jichange na hicho kidogo unachopata rudi chuo miezi 9 tu pata cheti chako njoo omba kazi hotelini. Kama wewe ni mzuri kwa kiingereza somea hospitality operation ambayo inahusisha idara zote hotelini na utakuwa na wigo mpana wa kufanya uchaguzi wakati wa kuomba ajira. Kama unataka kazi ya kudumu mpaka uzeeke au uache mwenyewe kwa hotelini soma Pastry and Bakery au food production. Hizi nyingine kama front office, Bartender, Barman, waiter na waitress zinakupa tips lakini ni za muda mfupi. Huo ndo ushauri wangu.
Chuo bora kwa kusoma ni National college of Tourism DAR na Arusha au vyuo binafsi vipo vingi mitaani.
 
kama una manguvu yako nenda forodhani pale jengo la baituljaib kuna kazi pale za ujenzi kwa siku nahisi elf 13000 kikubwa uwe namdhamini wako
 
Huyo alyekupatia wazo la kujitolea ungejaribu kumtumia pia akuongoze. Lakini kwa kukusaidia kazi pekee unayoweza kupata hotelini bila kusomea ni dishwasher ( Steward) Ama upate housekeeping na hili kuipata hiyo inabidi wakuhurumie sana manake sera ya trainee kwa Zanzibar imebadilika kwa kiwango kikubwa mno. Kwanza ili uweze kuchukuliwa kama Trainee lazima uombe nafasi kupitia wizara ya utalii na mali Kale na ulipie kiasi cha shilingi laki moja ( Hii kama umetoka bara) lakini pia hoteli itayokuchukuwa inatakiwa kukulipa mshahara na kukatia bima ya afya hivo unaweza kuona ugumu ulipo kulingana na bajeti.
Kuna mahali umesema mshahara wa kwenye kazi ya ulinzi ni mdogo, ninachofahamu kima cha chini cha mshahara Zanzibar ni 300k na ndiyo hiyo utakayolipwa hata huko hotelini. Ahueni kidogo utakayopata ni pale utakapo pata hotel inayotoa huduma ya kulala kwa wafanyakazi wake.

Ushauri jichange na hicho kidogo unachopata rudi chuo miezi 9 tu pata cheti chako njoo omba kazi hotelini. Kama wewe ni mzuri kwa kiingereza somea hospitality operation ambayo inahusisha idara zote hotelini na utakuwa na wigo mpana wa kufanya uchaguzi wakati wa kuomba ajira. Kama unataka kazi ya kudumu mpaka uzeeke au uache mwenyewe kwa hotelini soma Pastry and Bakery au food production. Hizi nyingine kama front office, Bartender, Barman, waiter na waitress zinakupa tips lakini ni za muda mfupi. Huo ndo ushauri wangu.
Chuo bora kwa kusoma ni National college of Tourism DAR na Arusha au vyuo binafsi vipo vingi mitaani.
Dish washer ni sehem ya chef wale. Pape lazima ujue majina ya vyombo vyote.. sio swala la kujua siku moja
 
Back
Top Bottom