OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Nina mzee wangu ambaye ni kigogo serikalini sasa cjui jinsi gani ya kumwambia aniweke ktk sekta au taasisi fulani km watoto wengine wa vigogo wanavyowekwa na wazee wao...Msaada wajameni nitumie gia gani kuongea na huyu mzee ili anisaidie nipate mchongo?