Mimi leo naomba wanajamvi munifafanulie mamlaka ya Afisa Tarafa Kikatiba au kwa mujibu wa katiba, napenda kujua kwasababu ktk zunguka yangu Mimi kama Mimi nimeshindwa kuwaelewa kabisa.
Sababu ni kwamba baadhi yao wamekuwa hawayajui kabisa mamlaka yao na HIVYO kujikuta wakidili na majukumu hadi ya Wenyeviti wa Vitongoji, watendaji wa vijiji, na hivyo kusababisha mgongano wa kimadaraka.
Pia wamekuwa wakitaka wao wawe wasikilizaji Wa migogoro hata inayowahusu wanandoa, kazi ambazo hawapaswi kuzifanya.
Je, haya ndio majukumu yao?
Kama sio, niziombe mamlaka zao ziwapatie semina elekezi baadhi yao, ili wasijiingize kwenye majukumu yasio yao. Kama kuwakomandi watendaji, Kuwashitaki watendaji kwa Maafisa utumushi na kadhalika.
Naomba kutoa Hoja.
Sababu ni kwamba baadhi yao wamekuwa hawayajui kabisa mamlaka yao na HIVYO kujikuta wakidili na majukumu hadi ya Wenyeviti wa Vitongoji, watendaji wa vijiji, na hivyo kusababisha mgongano wa kimadaraka.
Pia wamekuwa wakitaka wao wawe wasikilizaji Wa migogoro hata inayowahusu wanandoa, kazi ambazo hawapaswi kuzifanya.
Je, haya ndio majukumu yao?
Kama sio, niziombe mamlaka zao ziwapatie semina elekezi baadhi yao, ili wasijiingize kwenye majukumu yasio yao. Kama kuwakomandi watendaji, Kuwashitaki watendaji kwa Maafisa utumushi na kadhalika.
Naomba kutoa Hoja.