wadau......ni mwezi may.....hawajamaa walitoa nafasi za kazi.....lakini hadi sasa sijapata kujua.....kama wameishaita interview.....kwa mwenye taarifa wakuu......!
hahahahahahahahaha........jamaa wapo kimya sana......ngoja tujipe muda.......na vipi hawa muhimbili nao kunakipindi walitoa.........sijui ulikuwa wa pili ule......unadata zozote?