KCMC hospital tabia ya kudhulumu wagonjwa mtaacha lini??

mfate42

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
4,034
Reaction score
4,792
Kiukweli naandika uzi huu nikiwa nabubujikwa na machozi, mana nimelipia hela ya operesheni na kupewa kitanda..kinachoendelea kila siku madaktari wananibadilishia siku ya kufanyiwa operesheni.na wakati kila siku kulala ni elfu kumi...je hii gharama nani atailipia???na kwanini mlikubali kupokea fedha na wakati mnajua nafasi ya kufanyiwa operesheni imejaaa...
Kuna mtu ananiambia ndo tabia ya kcmc bila kuwa na refa au kuhonga kiasi cha pesa kwa daktari, basi utarushwa siku kila siku iendayo kwa mungu...
Kwa hili sina bud kumuandikia mkurugenzi pamoja na kulifikisha ngazi husika..kcmc hamtoi huduma bali mmegeuza hospital ni sehemu ya kuwaonea watu
 
Wakihama wachagga mji huu ndiyo tutaacha[emoji16][emoji16]
Nadhani changamoto in theatre space!! Hospitali imejengwa 1972 Wakatihuo populationikiwa ndogo .na theatre spacempk sasa ni hiyohyo .pili kuna wimbi Kubwa la ajali sasa hivi. Kuwa mpole ndugu yangu.
 
Nadhani changamoto in theatre space!! Hospitali imejengwa 1972 Wakatihuo populationikiwa ndogo .na theatre spacempk sasa ni hiyohyo .pili kuna wimbi Kubwa la ajali sasa hivi. Kuwa mpole ndugu yangu.
Unalogiki hapo.japo mlalamikaji hajasema aina ya oparesheni kama inawezekana kulazwa leo na kufanyiwa kesho. Nadhani pia mawasiliano siyo mazuri labda.
 
Hakuna haja ya kulalamika sana, ukiona wanazingua au hauridhishwi tembea zako mbele, hospitali zipo nyingi tu hapa Tanzania.

Ukiweza nenda Mluganzira, kule wanatafuta wagonjwa wa kuwatibia.
 
KCMC wakipata mgonjwa wanahakikisha wamemkamua to maximum. Wana vipimo vingi vya gharama kubwa ila majibu ya vipimo hivi mengine si ya kweli kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…