Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Gooosh!...Nani kauwawa mkuu?
Taarifa za uhakika toka chanzo cha uhakika ndani ya KCMC zinasema kuwagharama za matibabu zimepanda. Kupata kitanda tu bila hata panadol ni shiling 35000/- a very minor surgery ni kuanzia laki mbili kwenda juu. Boda boda mkae mkijua kuwa sasa ukivunjika mguu ni 1,500,00/-
Msamaria mwema bwana!
unaandika habari unarukaruka ,tulia,jipange.kwani wameua nani,hakuna tiba ya bure mkuu,ww ulitaka bure? halafu ww umeishia darasa la ngapi? utoto ndani ya jukwaa hatutaki.
unaandika habari unarukaruka ,tulia,jipange.kwani wameua nani,hakuna tiba ya bure mkuu,ww ulitaka bure? halafu ww umeishia darasa la ngapi? utoto ndani ya jukwaa hatutaki.
Samahani hiyo ni shilingi ngapi vile.! mimi hesabu zimepita kushoto.Taarifa za uhakika toka chanzo cha uhakika ndani ya KCMC zinasema kuwagharama za matibabu zimepanda. Kupata kitanda tu bila hata panadol ni shiling 35000/- a very minor surgery ni kuanzia laki mbili kwenda juu. Boda boda mkae mkijua kuwa sasa ukivunjika mguu ni 1,500,00/-
Msamaria mwema bwana!
Samahani hiyo ni shilingi ngapi vile.! mimi hesabu zimepita kushoto.
Taarifa za uhakika toka chanzo cha uhakika ndani ya KCMC zinasema kuwagharama za matibabu zimepanda. Kupata kitanda tu bila hata panadol ni shiling 35000/- a very minor surgery ni kuanzia laki mbili kwenda juu. Boda boda mkae mkijua kuwa sasa ukivunjika mguu ni 1,500,00/-
Msamaria mwema bwana!
By Eeka MangiTaarifa za uhakika toka chanzo cha uhakika ndani ya KCMC zinasema kuwagharama za matibabu zimepanda. Kupata kitanda tu bila hata panadol ni shiling 35000/- a very minor surgery ni kuanzia laki mbili kwenda juu. Boda boda mkae mkijua kuwa sasa ukivunjika mguu ni 1,500,00/-
Msamaria mwema bwana!
Ahsante...kweli elimu haina mwisho. Nimeipenda hiyo.Hiyo ni buku jero mkuu na shing sifuri
Kweli nimeona hii ni milioni moja na laki tano. Samahani kwa niliowakwaza.Pitia tena tarakimu, ni 1500,00 au ni 150,000?
Kwa siku moja!hiyo elfu 35000 ni kwa siku au kwa kipindi chote utakacholazwa?
Sio tunaponda ila kwa gharama hizi tunategemea nini mkuu! Kweli unategemea mlalahoi aweze kulipia gharama hizi?Mmh kuna kitu si bure! Mbona uzi za kuiponda KCMC haziishi siku hizi humu ndani.
tragedy of the commons
Ni kweli mkuu gharama hizi zilipandishwa rasmi tar 1 june 2013.
Na wakasema kama mtu huziwezi chapa lapa katafute hospitali ya babaako.
Ni kweli mkuu. Lakini tatizo la gharama limekuepo hospitali mbalimbali kwasasa. mfano; Agha Khan siku hizi hawachukui bima ya afya NHIF, bima yenye idadi kubwa ya watanzania wa vipato vya chini ambao wanaweza kufika hapo kwa mgongo wa bima tu.Sio tunaponda ila kwa gharama hizi tunategemea nini mkuu! Kweli unategemea mlalahoi aweze kulipia gharama hizi?