Somalia...
Ni mpuuzi tu kama wewe ambaye anaweza akashabikia magaidi ambao waliwaua watanzania wenzako hivi majuzi. Tena ambao wanaendelea kuwatumia vijana watanzania kila uchao kama mazombie kuendeleza shughuli zao za kishetani, za kuwaua watu wasiokuwa na hatia.Wait for their response in Nairobi! Remind urself It's nipe nikupe affair!
Ahahaha una uchungu mzee baba, al shabaab adi wakenya wenzenu wapoNi mpuuzi tu kama wewe ambaye anaweza akashabikia magaidi ambao waliwaua watanzania wenzako hivi majuzi. Tena ambao wanaendelea kuwatumia vijana watanzania kila uchao kama mazombie kuendeleza shughuli zao za kishetani, za kuwaua watu wasiokuwa na hatia.
Wapo. Ndio maana KDF wapo Somalia wakipambana dhidi ya ugaidi. Sasa ntakuwaje na uchungu kwasababu wanalipuliwa? Au umenifananisha na huyo mpuuzi mwenzako ambaye ameumwa baada ya kuona magaidi ambao waliwaua watanzania wakidondoshewa mabomu?Ahahaha una uchungu mzee baba, al shabaab adi wakenya wenzenu wapo
Wacha hao wachawi wapigwe kama mburukengeSomalia...
OVER 1,600 Rounds of Ammos, Grenade, G3 Rifle among other Assorted Weapons were early today confiscated at Majengo Mapya Area in Likoni in a resolute Operation by a Multi-Agency Team led by #ATPU Detectives. THREE Terror Suspects also Fatally Injured in a Shootout & Seven Arrests effected.Wait for their response in Nairobi! Remind urself It's nipe nikupe affair!
The kind of news you'd fap to?Wait for their response in Nairobi! Remind urself It's nipe nikupe affair!
We huna akili sawasawa, unashabikia mazombie!!?Ahahaha una uchungu mzee baba, al shabaab adi wakenya wenzenu wapo
Kwaiyo hii video ni kazi ya KDF ?Somalia...
Nao GSU wako na familia zao bumper to bumper. [emoji23][emoji23][emoji23]Wait for their response in Nairobi! Remind urself It's nipe nikupe affair!
I'd stand with anybody fighting terrorists.When it comes to alshabab cases i stand with Kenya