Pole ya nn sasa na ww
Thanks grandmaWhen it comes to alshabab cases i stand with Kenya
Il ambayo ilinifurahisha ni ile ya Alshabaab walipoingia Boni Forest ambayo iko mpakani mwa Kenya na Somalia upande wa LAmu, wakajaribu kuvamia kambi ya KDF (FOB) wakiwa wanarikodi na camera, kumbe walikua wanarikodi vile walikufa !!!!!Hapo pamekaushwa hata mavi hayawezi kukusanywa.
Il ambayo ilinifurahisha ni ile ya Alshabaab walipoingia Boni Forest ambayo iko mpakani mwa Kenya na Somalia upande wa LAmu, wakajaribu kuvamia kambi ya KDF (FOB) wakiwa wanarikodi na camera, kumbe walikua wanarikodi vile walikufa !!!!!
View attachment 1223490
Huyo jamaa alie post hio leaked video kwa liveleak.com vile alisema... haha good stuff!Hatari sana hii.
KDF have finally released the full version of the failed alshabaab attack filmed by British terrorist Thomas Evans. Alshabaab launched an early morning attack on a KDF base in Lamu county which later failed after a counter attack by Kenyan forces. Ohh a guy's head gets smashed at the end by an APC hahaha ..... good stuff
Ona venye shingo imenona. Huyo amekula kuku sana akiwa gerezani. Lakini akija ajue tutapasua kichwa chake kama tulivyofanya ndugu zake.This guy was a high ranking alshabaab intelligence officer who was arrested in Mogadishu more than 2yrs ago .
Who let these High raking Al-shabaab terorrist out of prison?
Is the Federal government of Somalia planning to use terrorism to destabilise Kenya ?
Wamewahi 72 virginsIl ambayo ilinifurahisha ni ile ya Alshabaab walipoingia Boni Forest ambayo iko mpakani mwa Kenya na Somalia upande wa LAmu, wakajaribu kuvamia kambi ya KDF (FOB) wakiwa wanarikodi na camera, kumbe walikua wanarikodi vile walikufa !!!!!
View attachment 1223490
Wakitinga Tz kufanyaje?.hao jamaa wanawapiga kenya wana interest zao sio kuwakomoa tu.ingawa matakwa yao ni yakishenzi tu, chanzo ni mabeberu wa kiingereza if not mistaken na masuala ya boundaries.vita za kidini kwa hawa waislam wenzangu ni hatari kama wamepewa pilipili kichaa.Kuwamaliza hawa jamaa sio rahisi kama unavyofikiri it need time,plan and skills coz huwezi wajua kirahisi.Alshabaaab wakitinga TZ nawambia tutakimbizana humu
Acheni tu ibaki kama story ila hawa viumbe wakitinga Hii nchi
Ule mkimbiano wa panya road ni theluthi ya trela
AL shabaab kwani hawajulikani walipo au kutuzuga tuuu
Si tupite kwa rocket huko angani tudondoshee mabomu kwenye makazi yao?
Au ugumu uko wapi?