KDF Yanunua helicopter 12 na zana zingne za kivita

Hahaha kwani wakenya ni waarabu am sure mwenye aliweka picha ni kuonyesha which helicopters he is talkin about,waaah
Acha ujinga yaani taarifa yenu mnashindwa kupiga picha vifaa vyenu? Kwanini msiweke picha ya hizo helicoptes?
Kwanini muweke picha za uongo?
 
wale wa kwetu kule rufiji bado hatujui ni kina nani.....tumeambiwa nanjeshi letu wale ni wahalifu na vibaka....sio magaidi
 
Kuwamaliza kuna kazi kubwa. Kuwapiga tu mabomu haitoshelezi. Lazima mentality yao ibadilike kuwa kuuwana si ishu. Lasi hivyo wasipobadilika mawazo yao.. watazid kujitoa muhanga everyday
 
we waache tu mi niliwachora tu.
 
Meanwhile Unga Maziwa na Sukari juu, Agizeni mabomu na NDEGE za vita watu watakula hayo
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119]
 
Mbona ziko kama bajaji. Hizo in za kuendea sokoni. Nairobi kuna fol3ni sana.kwa ivo hio ni kupeleka mama pale Nakumati centre
 
Watz si muingie somalia basi mlete amani,muache mdomo, everytime kuongea to, we can do this we can do that,y dont u do it and bring peace in somalia ndio mtajua ata US na Russua ni kali lakini al-Qaeda na ISIS wanawasumbua
Sasa hivi tunajenga nchi kwanza mnataka kila kitu Tanzania na nyinyi kapiganeni ss tumepigana sana hadi tukasahau kujiendeleza lakini sasa wakenya wanashangaa tz imebadilika kimaendeleo hadi roho zinawauma
 
Sasa hivi tunajenga nchi kwanza mnataka kila kitu Tanzania na nyinyi kapiganeni ss tumepigana sana hadi tukasahau kujiendeleza lakini sasa wakenya wanashangaa tz imebadilika kimaendeleo hadi roho zinawauma
Tanzania ikibadilika ndio vyema, it means more opportunities for East Africans, lakini get this from me, your attitude is what has been driving you backwards and not war, wacha kujitetea na mambo ya vita sisi majeshi yetu yako Somalia na bado kazi inaendelea kwa kasi, or you think we are sleeping?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…