Acha ujinga yaani taarifa yenu mnashindwa kupiga picha vifaa vyenu? Kwanini msiweke picha ya hizo helicoptes?Hahaha kwani wakenya ni waarabu am sure mwenye aliweka picha ni kuonyesha which helicopters he is talkin about,waaah
Ur being pettyAcha ujinga yaani taarifa yenu mnashindwa kupiga picha vifaa vyenu? Kwanini msiweke picha ya hizo helicoptes?
Kwanini muweke picha za uongo?
Nyie tunawajua kwa uongo. Mnajifanya mko juu wakati uongo uongo. Maisha yenu mnayaendesha kwa wizi na uongo.Ur being petty
this is MD500Acha ujinga yaani taarifa yenu mnashindwa kupiga picha vifaa vyenu? Kwanini msiweke picha ya hizo helicoptes?
Kwanini muweke picha za uongo?
Acha kujichetua. Kwanini msiweke hiyo picha?this is MD500
Kuwamaliza kuna kazi kubwa. Kuwapiga tu mabomu haitoshelezi. Lazima mentality yao ibadilike kuwa kuuwana si ishu. Lasi hivyo wasipobadilika mawazo yao.. watazid kujitoa muhanga everydayTatizo haya mazombi hata yakiuawa vipi yanazidi kuzaliwa upya, kule Marekani na Urusi wameyapiga hata kwa mabomu mengine tunaskia yanaitwa 'Mother of all bombs' MOAB lakini yanapeta tu, Mrusi kayapiga kwa ICBM iliyokatza anga ya nchi tatu lakini bado yapo yapo tu yanazaliwa. Yamekaririshwa mahubiri ya kiajabu ajabu...
we waache tu mi niliwachora tu.Halafu hawa wakenya nawashangaa sana mpaka vyombo vyao vya habari vinaleta taarifa za uongo
Hii picha iliyowekwa ni ya Afghanistan (Sept. 7, 2012).
Source hii hapa:-
Afghan pilot program achieves milestone with first graduates
SHINDAND, Afghanistan (Sept. 7, 2012) -- For the first time in more than 30 years, Afghan pilots completed pilot training held in their home country. The Rotary Wing Flight Training Program was developed and conducted by Soldiers from the U.S. Army Security Assistance Training Management Organization for the Afghan Air Corps in order to create an independent Afghan Air Force program.
Sijui kwanini mlaleta taarifa za uongo humu ndani?
Mpaka magazeti yenu yanaleta taarifa za uongo.
Hivi mtaacha lini?
wewe muweke picha zenu simmezinunua kama hizo ndege si zenu kinachowafanya mshindwe weka ni niniUr being petty
Si pia kwenyu mnacomplainMeanwhile Unga Maziwa na Sukari juu, Agizeni mabomu na NDEGE za vita watu watakula hayo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji119]Tatizo haya mazombi hata yakiuawa vipi yanazidi kuzaliwa upya, kule Marekani na Urusi wameyapiga hata kwa mabomu mengine tunaskia yanaitwa 'Mother of all bombs' MOAB lakini yanapeta tu, Mrusi kayapiga kwa ICBM iliyokatza anga ya nchi tatu lakini bado yapo yapo tu yanazaliwa. Yamekaririshwa mahubiri ya kiajabu ajabu...
Kwani tuna vita?Sisi hatuna hata moja
Ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, kwanini umeamua kunichekesha namna hii?manuari yetu ya kivita it is number one in Afrika
View attachment 506524
Usitokwe na mapovu mkuu. Zinatumiwa na (Kenya Drinking Force .(KDF)wewe muweke picha zenu simmezinunua kama hizo ndege si zenu kinachowafanya mshindwe weka ni nini
Sasa hivi tunajenga nchi kwanza mnataka kila kitu Tanzania na nyinyi kapiganeni ss tumepigana sana hadi tukasahau kujiendeleza lakini sasa wakenya wanashangaa tz imebadilika kimaendeleo hadi roho zinawaumaWatz si muingie somalia basi mlete amani,muache mdomo, everytime kuongea to, we can do this we can do that,y dont u do it and bring peace in somalia ndio mtajua ata US na Russua ni kali lakini al-Qaeda na ISIS wanawasumbua
Tanzania ikibadilika ndio vyema, it means more opportunities for East Africans, lakini get this from me, your attitude is what has been driving you backwards and not war, wacha kujitetea na mambo ya vita sisi majeshi yetu yako Somalia na bado kazi inaendelea kwa kasi, or you think we are sleeping?Sasa hivi tunajenga nchi kwanza mnataka kila kitu Tanzania na nyinyi kapiganeni ss tumepigana sana hadi tukasahau kujiendeleza lakini sasa wakenya wanashangaa tz imebadilika kimaendeleo hadi roho zinawauma