KDF Yanunua helicopter 12 na zana zingne za kivita

Ukisoma comments utashangaa how these guys are suddenly experts on an enemy they have never encountered and veterans in a war they've never fought.
Does it take an expert to know your army is bunch of thiefs! May be if your army had proper discipline and fulfill the promise of protecting Kenya would have easily defeated the terrorists. But stealing from victims?? 😀 i gues the new copters are for steal and pack in operation. Vipi mna vifaa vyote hivo mnashindwa kulinda nchi? I understand suiciders ni hard kuwapata ila mnashindwa kupigana face to face with the group of terrorists?
 
Ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, kwanini umeamua kunichekesha namna hii?

Ha ha ha ha ha ha ha!!
tena nikusikie unanyanyua huo mdomo wako kuisema😀😀😀😀
 
Majirani zetu naona hamnazo[emoji1] [emoji1] [emoji1] wakati had tu tuhelcopter bongo tunalindia faru kwenye mbuga zetu
 
Majirani zetu naona hamnazo[emoji1] [emoji1] [emoji1] wakati had tu tuhelcopter bongo tunalindia faru kwenye mbuga zetu

Sasa mbona faru John akatoweka mchana peupe mkiwa na huto tuhelikpta twenu.
 
Ndio maana hii nchi na Afrika nzima kwa ujumla itachelewa saana kuendelea. Yaani baada ya kuwapa pongezi wakenya matokeo yake tunawaponda, mara helkopta sijui za kwendea gengeni mara alshabaab n.k

Kwa kweli hatuwezi kupiga hatua ya maendeleo kwa namna hii, Tz tuchukulie hii ni kama changamoto kwetu, hivyo na sisi tujitahidi tufike huko na sio kuponda.

Zama hizi jeshi linahitaji zaidi zana za kisasa kuliko kitu kingine. Usione North Korea anamtunishia msuli US ukadhani na wao wanavunja matofali na kulalia misumali, wana jeshi lenye silaha nzito na kwa asilimia kubwa wanatengeneza wenyewe.

Tanzania tuamke.
 
Acha ufara we unajua gharama ya matunzo ya hizo ndege kwa siku hizo ni biashara ya nchi tajiri kututwisha mizigo ili wazidi kula hela zetu kuna haja gani kununua tractor hikiwa shamba utalolimia alizidi robo heka al shabbabu na hiyo midege nisawa na kusafirisha kilo moja ya pamba kwa scania kisha ukajisifia maendeleo
 
Nyinyi mpo pamoja na mataifa ya kibepari kwenye hiyo vita usilinganishe na vita ilivyo pigana tz ilikuwa dhidi ya mataifa ya magharibi
 
1. Sipendi matusi, yaani nachukia sana kusikia matusi au kuyasoma, siendani kabisa na hizo lugha.

2. Nashkuru kwa kuniita mimi fara.

3. Nitakujibu kisha sitaongea tena chochote ili kutotaka kusikia lugha za maudhi kutoka kwako au kwa mwingine yoyote yule.

Unatakamka kuwa hizo ni biashara ili kutukandamiza waafrika? Waafrika kwenye vita vyetu huwa tunapigana na wazungu? Isingekuwa vifaa vya hao wazungu vita vya kagera tungeweza kushinda? Unadhani tulitumia mawe na mishali kisha wenzetu wakatumia silaha za moto? Huko Msumbiji, SA, Botwana, Namibia n.k wangepataje uhuru kama sio silaha hizihizi? Kama ishu ni kutajirisha wazungu, Je tunawatajirisha kwa namna ngapi? Magali tunanunua kutoka wapi, vipi kuhusu mavazi? Sio mpka unga wa Coca, Pepsi n.k tunaagiza huko nje? Wewe umeona silaha tu? Hiyo simu unayotumia unainufaisha Afrika au Wazungu? Mkuu naomba yaishe.

4. Kama kuna uwezekano unaweza usinijibu maana hata ukinijibu sitaweza kukujibu tena.

Nakutakia Asubuhi njema.
 
Akili zako ndogo sana kwahiyo unataka tz tuingie kwenye mashindano ya kununua siraha ambazo aziendani na uitaji wa wakati usika Kenya wanasema wananunua kwa sababu ya al shabbabu ila al shabbabu azikuitajika siraha nyingi kiasi hicho kuwapiga kwa akili zako watz tuanze kujilimbikizia nuclea boms na kuusu vita vya Uganda na vya ukombozi tulinunua kwa uitaji wa wakati pia ilisababisha Kenya kutuacha kiuchumi sana
Sasa kama wao wapo vitani ni wao kama sisi tulipo kuwa vitani wao walikuwa wanajenga uchumi
Na sisi tutumie wakati huu kujenga uchumi mana atuna vita
 
Watz si muingie somalia basi mlete amani,muache mdomo, everytime kuongea to, we can do this we can do that,y dont u do it and bring peace in somalia ndio mtajua ata US na Russua ni kanawasumbua
ISIS ni issue ya USA wenyewe kuendeleza biashara zao Middle east open your eyes wewe kwani Osama alianzia na kuishia wapi
 
KDF wanaenda kupiganana nani wakati

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…