Keep up the flame in your relationship.....

sku hizi mapenzi yamebaki kwenye maigizo, mziki na sredi za JF tu, kuna micouple kila wiki inakwenda hanemuni, mauwa kibao, maswiming puli na masham sham ya kumwaga. kumbe wizi mtupu! haya ni maoni yangu tu . heshima ya sredi inabaki pale pale

My dear fellow tablet: Hivi ni mwenzetu gani anayetibu magonjwa ya mapenzi? Mi nakabili maumivu tu, hasa yanayotokea martenity ward.
 
sku hizi mapenzi yamebaki kwenye maigizo, mziki na sredi za JF tu, kuna micouple kila wiki inakwenda hanemuni, mauwa kibao, maswiming puli na masham sham ya kumwaga. kumbe wizi mtupu! haya ni maoni yangu tu . heshima ya sredi inabaki pale pale
ha ha ha ha ha!
mkuu nilikuwa sijasoma hii:
meno 32 msuwaki mmoja! its not fair bana!
 

kwa kila jambo, kuna majira yake, na mahali yake
 
there you go DUDE......!sorry,there you go HEARTBREAKER
 
Comrade....nakumbuka ulinambia ulizaliwa UK. Hebu nikumbushe ni Birmingham au London?

Baba hachaguliwi...........:lol::lol:
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama.
.:israel::israel::israel:


AND THIS IS WITH ALL DUE RESPECT
 
Mi nadhani ni ujumbe mzuri sana tu, sasa nyie akina Kimey tafuteni za kwenu huko bush...I almost forgot, ivi who is paying the expenses vile Smiles?
 
Baba hachaguliwi...........:lol::lol:
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama.
.:israel::israel::israel:


AND THIS IS WITH ALL DUE RESPECT

Unatoa lami.....unaweka vumbi......kanuni ya kwanza ya gesti za muleba.
 
Mi nadhani ni ujumbe mzuri sana tu, sasa nyie akina Kimey tafuteni za kwenu huko bush...I almost forgot, ivi who is paying the expenses vile Smiles?

hahahahah......
They says 'sharing is caring'
 
ha ha ha ha ha!
mkuu nilikuwa sijasoma hii:
meno 32 msuwaki mmoja! its not fair bana!

hehehe hongera jibaba, tahazari na kubemenda katika kipindi hiki kigumu cha kudai katiba mpya.
 
Kwa sababu wazo la kwanza kunijia halikuwa zuri kabisa...nadhani hata iyo flame ingezima kabisa tehe!

heheh....nafikiri nakupata vizuri!!
 
hehehe hongera jibaba, tahazari na kubemenda katika kipindi hiki kigumu cha kudai katiba mpya.
HA HA HA HA HA!
mtihani huo.....!ingawa katiba inahitaji mabadiliko so far
 
Dah....
are we thaaaaat boring jamani.....?:A S cry:
Not thaaaaaat boring, We love you sistos,
mimi nimetoa a perfect example ya to keep the flame burning katika uhalisia.........In that list, there are definite things that I don't enjoy, but my spouse will enjoy if i will let it happen he way.......that's when i can have half of that evening or day to enjoy as well without ever let her feel i don't enjoy walking bare foot in the beach for example.....i will walk bare foot with my glass of Malibu of-cause.
 

hivi ukiwa unatoka na mwenzako unaenda pale marangu kupata ukoo hivi hawa wadada zetu wa dot com wanaweza kukubali kukaa ile sehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…