Kelele za fanya hiki acha kile, hapo umekosea hapo umepatia zimekuwa nyingi mitandaoni, au kwa sababu ni Mama?

Kelele za fanya hiki acha kile, hapo umekosea hapo umepatia zimekuwa nyingi mitandaoni, au kwa sababu ni Mama?

May Day

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2018
Posts
6,311
Reaction score
9,027
Siku hizi kila ukiingia mtandaoni utakutana na uzi wa kupinga, kupongeza, kuelekeza au kufananisha na Mtangulizi wake.

Hivi haya yote ni kwa kuwa hatujawa na historia ya kuongozwa na Mama au tu ni tabia asilia ya Viumbe kulialia mbele ya Mama zao maana hata kwenye familia Watoto wanahisi uhuru zaidi kumlilia Mama kuliko Baba.

Na sidhani kama ni sawa kufikiri kila linalofanyika ni mazao ya taarifa za mitandaoni...na hata kama ni hivyo kwani mamlaka hawana nafasi ya kuzifuatilia na kujiridhisha kwa taarifa hizo kabla ya kuchukua hatua?.

Ifike mahali sasa tu relax na kumuacha Mama afanye kazi zake kwa uhuru mpaka atakapomaliza ngwe yake....tusisahau miluzi mingi inamchanganya Mbwa.
 
Hakuna aliyemzuia mama kufanya kazi yake, hakuna anayeweza kumzuia mama kufanya kazi yake.Raia waachwe huru kutoa maoni yao. Msitake turejee enzi za giza za jiwe.
 
Democracy is a tremendous tool for ensuring liberty and prosperity, but when granted to a nation whose 80% of its population is composed of ignorant and illiterate people then you get stuck in a quagmire.

By the way, all good things tend to fall short of certain qualities......
And that's the dark-side of democracy.......
A leader needs to grow a thick skin.....
 
Democracy is a very good tool for ensuring liberty and prosperity, but when granted to a nation whose 80% of its population is composed of ignorant and illiterate people then you get stuck in a quagmire.

By the way, all good things tend to fall short of certain qualities......
And that's the dark-side of democracy.......
A leader needs to grow a thick skin.....
Voice of majority is the voice of God.
 
Voice of majority is the voice of God.
Sad as it may sound, democracy to an ignorant society is like a child playing with a grenade......

A majority which neither adheres to a particular moral compass nor common precepts of decency is similar to a multitude of fools in action. It can breed tyranny of numbers and nihilism: Fascism in Europe was skyrocketed an perched on top of a pedestals by the ignorant majority,.........
 
Sad as it may sound, democracy to an ignorant society is like a child playing with a grenade......

A majority which neither adheres to a particular moral compass nor common precepts of decency is similar to a multitude of fools in action. It can breed tyranny of numbers and nihilism: Fascism in Europe was skyrocketed an perched on top of a pedestals by the ignorant majority,.........
Democracy iliyokamilika has checks and balances ,minority rights protection etc kuzuia excess za wengi.
 
Siku hizi kila ukiingia mtandaoni utakutana na uzi wa kupinga, kupongeza, kuelekeza au kufananisha na Mtangulizi wake.

Hivi haya yote ni kwa kuwa hatujawa na historia ya kuongozwa na Mama au tu ni tabia asilia ya Viumbe kulialia mbele ya Mama zao maana hata kwenye familia Watoto wanahisi uhuru zaidi kumlilia Mama kuliko Baba.

Ni sidhani kama ni sawa kufikiri kila linalofanyika ni mazao ya taarifa za mitandaoni...na hata kama ni hivyo kwani mamlaka hawana nafasi ya kuzifuatilia na kujiridhisha kwa taarifa hizo kabla ya kuchukua hatua?.

Ifike mahali sasa tu relax na kumuacha Mama afanye kazi zake kwa uhuru mpaka atakapomaliza ngwe yake....tusisahau miluzi mingi inamchanganya Mbwa.
Naunga mkono hoja, tuendelee kumshauri Mama ila tusimpangie!.
P
 
Mkuu ulikuwa jela wakati wa utawala wa JK? Miaka yote 10 wananchi walitoa maoni
Ni kama nahisi kwa sasa miluzi imekuwa mingi, na mbaya zaidi wengi ni kama wanahisi Mama anahitaji sana muongozo kuliko kuamua yeye mwenyewe.

Kila Mtu utamsikia "yule hafai usimteue...yule hafai muondoe...wale walifungwa kimakosa waachie huru"......
 
Unfortunately anatusikiliza na anatenda tunaona. Nyie mataga endeleeni kuteseka hivyo hivyo.

Kikubwa ni kuwa alishasema kuwa anaona kila kinachosemwa.

Tulia dawa ipenye.
Naona hata leo amewasikiliza?
 
Siku hizi kila ukiingia mtandaoni utakutana na uzi wa kupinga, kupongeza, kuelekeza au kufananisha na Mtangulizi wake.

Hivi haya yote ni kwa kuwa hatujawa na historia ya kuongozwa na Mama au tu ni tabia asilia ya Viumbe kulialia mbele ya Mama zao maana hata kwenye familia Watoto wanahisi uhuru zaidi kumlilia Mama kuliko Baba.

Na sidhani kama ni sawa kufikiri kila linalofanyika ni mazao ya taarifa za mitandaoni...na hata kama ni hivyo kwani mamlaka hawana nafasi ya kuzifuatilia na kujiridhisha kwa taarifa hizo kabla ya kuchukua hatua?.

Ifike mahali sasa tu relax na kumuacha Mama afanye kazi zake kwa uhuru mpaka atakapomaliza ngwe yake....tusisahau miluzi mingi inamchanganya Mbwa.
Huu ndio uhuru uliotumia pia kuandika humu wazo lako,cha msingi tufuate sheria na kuwa na staha ya maneno yetu.
 
Back
Top Bottom