Kelele za mashabiki zinazosikika wakati wa mechi EPL

Ni sauti toka game la FIFA.. Kuna mdau hapo juu ameelezea vizuri.
 
Ni sauti za mashabiki wa ukweli wale ambao wapo majumbani au Cinema halls. Sauti zinaingizwa katika system kupitia videos calls mf skype..may be

Kweli wengine wanatoa majibu ya kubet ila huu ndio ukweli wenyewe.

Acheni kuleta kamba nyie!
Hivi kama ni sauti za mashabiki kutoka majumbani ambao wengi wanakuwa mmoja mmoja ama pengine hawazidi watano sauti zao zikiunganishwa zinaweza kuwa kama inavyosikika?
Huko cinema halls wanaendaje wakati huko ni kama mikusanyiko tu ambayo kwa ulaya bado haijaruhusiwa? Kuruhusu kwenda cinema halls kuna risk kubwa zaidi juu ya hili janga tofauti na kwenda viwanjani!
... kwa maana hiyo mnataka kusema kuwa hata sauti zilizo kwenye games za fifa ni sauti za watu wanaoshangilia wakiwa playstations?
 
Hahaa mkuu humu mitazamo tofauti tofauti imetolewa ila hawa wanaosema sauti za watu majumbani nadhani ni kamba ya wazi kabisa. Yani zikusanywe na wote washangilie kwa pamoja.
 
Ni sawa mkuu je wale wa uwanjani hawazisikii?
Hili swali nimeshauliza sehemu tofauti na nimepata majibu tofauti, sasa sijui tuwaulize wachezaji wenyewe ili tupate jibu lenye uhakika
 
Hili swali nimeshauliza sehemu tofauti na nimepata majibu tofauti, sasa sijui tuwaulize wachezaji wenyewe ili tupate jibu lenye uhakika

Hayo majibu tofauti uliyoyapata ni yapi mkuu?
...unafuatilia Serie A?
Kama unafuatilia huwezi kupata utata wa jibu la hili swali!
Jibu la kweli ni moja tu!
 
Hayo majibu tofauti uliyoyapata ni yapi mkuu?
...unafuatilia Serie A?
Kama unafuatilia huwezi kupata utata wa jibu la hili swali!
Jibu la kweli ni moja tu!
mbon fa walishasem kitambo kuwa wataomb fifa games watumie saut za games zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…