Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 4,160
- 5,793
HayaKwishaaaaaaaa
NiliotaDuh ndugu we kiboko
Naona uliota usiku.
NazipokeaMtoa mada ubarikiwe popote ulipo
AiseeeeYaani unataka Yanga ifungwe na ihefu halafu Simba wajichukulie points zote 3 kwa prisons. Sasa kaa vizuri kusubiri matokeo ya utabiri wako.
Ungejikita kuzungumzia performance ya Simba na tinho wake ingependeza zaidi
Well predictedKutokana na kukamiwa kupita kiasi, ni dhahiri Yanga wanaenda kuangusha points mbele ya Ihefu. Aidha, kutokana na udhaifu wa Tanzania prisons, Simba wako likely kujikusanyia points zote tatu na kuongoza msimamo wa ligi.
Ikiwa hii itatokea, natarajia mabadiliko makubwa ya siasa za mpira wa bongo this week. Kubwa zaidi ni kupungua kwa kelele za mashabiki wa Simba za kutaka kocha wao atimuliwe. Hali hii itachangizwa zaidi na mentality ya mashabiki wa hizi timu hizi mbili kuhusanisha mafanikio ya timu moja 'in relation to' hali ya timu nyingine.
Ngoja tuone
I second youNguvu mojaa.......Ni suala la Muda TU huyu huyu robertinho mnayemchukulia poa atawashangaza wengiii Hasa kwenye mashindano ya kimataifa....tunaanza tar 20/10
Amin[emoji120][emoji120][emoji120]
Naona utabiri wako unaelekea kutimia. Ukijumlisha na madudu ya Garmond ya kupanga kikosi kisichoeleweka, hakika kelele zote zitaisha.Kutokana na kukamiwa kupita kiasi, ni dhahiri Yanga wanaenda kuangusha points mbele ya Ihefu. Aidha, kutokana na udhaifu wa Tanzania prisons, Simba wako likely kujikusanyia points zote tatu na kuongoza msimamo wa ligi.
Ikiwa hii itatokea, natarajia mabadiliko makubwa ya siasa za mpira wa bongo this week. Kubwa zaidi ni kupungua kwa kelele za mashabiki wa Simba za kutaka kocha wao atimuliwe. Hali hii itachangizwa zaidi na mentality ya mashabiki wa hizi timu hizi mbili kuhusanisha mafanikio ya timu moja 'in relation to' hali ya timu nyingine.
Ngoja tuone
IhefuuuuuuuuuNaona utabiri wako unaelekea kutimia. Ukijumlisha na madudu ya Garmond ya kupanga kikosi kisichoeleweka, hakika kelele zote zitaisha.
Du kweli Ihefu wamepiga kwenye mshono🤣🤣🤣🤣Naona utabiri wako unaelekea kutimia. Ukijumlisha na madudu ya Garmond ya kupanga kikosi kisichoeleweka, hakika kelele zote zitaisha.
Katika hili unastahili pongezi. Kelele zote za kumkataa Robertinho ndiyo zimeishia leo.
Na baada ya hapa tunasubiria tu kelele zote kuhamia kwenye ushindi wa Ihefu! Ihefu imepiga kwenye mshono! Ihefu ndiyo mbabe wa Yanga, nk. Na hawa ndiyo mashabiki wengi wa simba na Yanga walivyo. Siku zote wanaendeshwa na matukio na mihemko.
Wewe ni Nabii yuleKutokana na kukamiwa kupita kiasi, ni dhahiri Yanga wanaenda kuangusha points mbele ya Ihefu. Aidha, kutokana na udhaifu wa Tanzania prisons, Simba wako likely kujikusanyia points zote tatu na kuongoza msimamo wa ligi.
Ikiwa hii itatokea, natarajia mabadiliko makubwa ya siasa za mpira wa bongo this week. Kubwa zaidi ni kupungua kwa kelele za mashabiki wa Simba za kutaka kocha wao atimuliwe. Hali hii itachangizwa zaidi na mentality ya mashabiki wa hizi timu hizi mbili kuhusanisha mafanikio ya timu moja 'in relation to' hali ya timu nyingine.
Ngoja tuone
[emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji28][emoji1787]Yaani unataka Yanga ifungwe na ihefu halafu Simba wajichukulie points zote 3 kwa prisons. Sasa kaa vizuri kusubiri matokeo ya utabiri wako.
Ungejikita kuzungumzia performance ya Simba na tinho wake ingependeza zaidi
Kudadadadeqkaangushaa sasa
YaaahWell predicted
ThanksNimekuheshimu sana Mkuu.
Haya ni zaidi ya Maono.
Ni zaidi ya Unabii.
[emoji120]