Na wewe pia ni standup comedian au.....samahani lakini??
Hana kitu...mimi nna collection ya stand ups najaza tera 1.....nikasema ngoja nitafute moja ya huyu bwama mdogo kevi maana siku nyingi huwa simkubali..sasa zingine zoote nmeshaangalia nkasema aarg ngoja nichek mbili tatu...naona ananiboa tuUna stress zako tu Mjumbe..
Kevin hart namuelewa
Hapa ndio kabisa....ila baba level akiwa trained na akiandika script vizuri anaweza jaribu au Mpoki maana wako natural. Wanahitaj mafunzo tu...sababu mtu akiwa na maongezi ya kawaida tu unacheka akiwa trained si atakua vizuri.Hapo bongo ndo hamna kitu kabisa
Hyo list namchkua chris na dave tu ..naomba tafuta show za eddie griffin uone maajab au bernie mackKevin Hurt binafsi nafikiri ni muigizaji zaidi
Au sitcom Zaid..
Ila stand up top ni
Dave chapele
Chris Rock
Eddie Murphy
Cat Stevens
Hii ni kwa black stand up comedians?Kevin Hurt binafsi nafikiri ni muigizaji zaidi
Au sitcom Zaid..
Ila stand up top ni
Dave chapele
Chris Rock
Eddie Murphy
Cat Stevens
Amewezeshwa tuu huyo na wazungu, watu mara nyingi wanamcheka yeye jinsi alivyo badala ya jokes zake.Hakuna kitu. Hapo
Inaonekana ana management ya nguvu sana ila stand up hakuna kitu
Anaweza tumia dk5 watu hawajacheka...not only watu..mim mwenyew sjacheka
Sjui sabab nawaangalia sana ma legend
Eddie griffin,chris rock,richard prior,bernie mack,steve harvey etc
Anazingua...kama hii irresponsible show..ukumbi umefurika lakin anaongea ongea tu...hapo angekua eddie ingekua balaa
Wanambania eddie griffin sabab ana race jokes
Hii ni kwa black stand up comedians?
Maana kuna Fluffy, trevor noah
Hapa ndo kabisa....ila baba level akiwa trained na akiandika script vizur anaweza jarib au mpoki maana wako natural.wanahitaj mafunzo tu...sabab mtu akiwa na maongez ya kawaida tu unacheka akiwa trained si atakua vzur