Umeelewa title lakin...nmeongelea stand upUnaweza kuwa sahihi kwa upande wa stand up comedy, lakin linapokuja swala la movie za comedy kevin hart ni habari nyingine mzee
Nenda kachek hiz movie then urud ufute neno "over rated" The upside, Night school, Central Intelligence na jumanji 2017
Kwahyo na wadau wa juu huko waliosupport hoja nao wana frustrationsTatizo unakuwa na ma-frustrations yako na hapo ndipo unaamua kuchungulia clips za Kelvin Hart ukitarajia akurudishie mudi! Mambo hayaendi hivyo bro! Hata biriani mbuzi na utamu wake wote ule ukianza kulila na mifrustration yako lazima utaliona baya tu! Ushauri wangu ni kwamba, ukiwa na mi frustration yako, vuta bangi na utasahau japo kwa muda.
Overrated ni MC Pilipili maana sio comedian kabisaHakuna kitu. Hapo
Inaonekana ana management ya nguvu sana ila stand up hakuna kitu
Anaweza tumia dk 5 watu hawajacheka... not only watu.. mimi mwenyewe sijacheka
Sijui sababu nawaangalia sana ma legend
Eddie Griffin, Chris Rock, Richard Prior, Bernie Mack, Steve Harvey etc
Anazingua...kama hii irresponsible show.. ukumbi umefurika lakini anaongea ongea tu...hapo angekua Eddie ingekua balaa
Wanambania Eddie Griffin sababu ana race jokes
Gabriel iglesias aka FluffyKaka unamsahau George Cahlin
Kuna dogo mwingine anakuja kwa kasi anaitwa Gabriel Iglesias..