Kumbukumbuyatorati
Senior Member
- Jul 27, 2018
- 152
- 221
Taarifa za Barcelona kumchukua boateng kwa mkopo kutoka sassuolo imeshtua wapenzi wengi wa mchezo wa soka duniani na wengi wakiamini si chaguo sahihi kwa Barcelona binafsi nafikiri ni chaguzi sahihi sana.
1.Barcelona haina mshambuliaji asilia mmoja ambaye ni Suarez na tumeshuhudia kabisa anapopata majeraha timu inapomkosa yeye pamoja na messi timu inahangaika kupata Ushindi.
2.Barcelona ni kweli ina washambuliaji wengi mbele lakini mamba 9 asilia yupo mmoja tu nafikiri boateng ni chaguzi sahihi.
3.Kwanini asiwe giroud au Morata ambao mwanzo walikuwa katika mpango wa kuchukuliwa na Barcelona kwa Mpira wa Barcelona nadhani unahitaji mshambuliaji mwenye NGUVU na uwezo wa kulazimisha ushindi kama ilivyokuwa kwa etoo hata Suarez wa sasa.
3.Kwa boateng ana NGUVU ni mtumiaji wa mipira yote ya juu na chini tofauti na mtu kama geroud kwa hali ya ukosefu wa mshambuliaji mwenza wa Suarez pale Barcelona nafikiri Lukaku anaweza kuwa chaguo sahihi lakini sio mtu kama Morata.
1.Barcelona haina mshambuliaji asilia mmoja ambaye ni Suarez na tumeshuhudia kabisa anapopata majeraha timu inapomkosa yeye pamoja na messi timu inahangaika kupata Ushindi.
2.Barcelona ni kweli ina washambuliaji wengi mbele lakini mamba 9 asilia yupo mmoja tu nafikiri boateng ni chaguzi sahihi.
3.Kwanini asiwe giroud au Morata ambao mwanzo walikuwa katika mpango wa kuchukuliwa na Barcelona kwa Mpira wa Barcelona nadhani unahitaji mshambuliaji mwenye NGUVU na uwezo wa kulazimisha ushindi kama ilivyokuwa kwa etoo hata Suarez wa sasa.
3.Kwa boateng ana NGUVU ni mtumiaji wa mipira yote ya juu na chini tofauti na mtu kama geroud kwa hali ya ukosefu wa mshambuliaji mwenza wa Suarez pale Barcelona nafikiri Lukaku anaweza kuwa chaguo sahihi lakini sio mtu kama Morata.