britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
mkoa gani
utapeli at work..,..harufu ya watoto wa mjini.....
hahahahahaha, mkuu umenifurahisha sana, nmependa analysis yakoHapa naona mleta mada anabadilisha user name tu na anajijibu mwenyewe, du, sajiri kwanza kampuni yako (yenu) kwani hiyo ya kusajiria hamna? ukisajiri toa taarifa tuiangalie (brela online name searching) ikiwa tayari tunashare tu hakuna shida, kwasasa sahau, km vp tafuta marafiki hapo ulipo.
hahahahahaha, mkuu umenifurahisha sana, nmependa analysis yako
Dar es salaam. Vikaohusika vitakuwa vikifanyika serena hotels
Kemnat iko tiyari mpaka sasa na usajiri umeshakamilika kwa maelezo zaidi fuatilia uzi huu,
AiseeKemnat iko tiyari mpaka sasa na usajiri umeshakamilika kwa maelezo zaidi fuatilia uzi huu,
Kumbe wewe ndohalow dont assume everything. One day you will see its existence
malizia Halafu Mpaka Leo Haijaanza?Kumbe wewe ndo
Sitaki ushahidi halafu kuna watu waliongea jamaa akabisha kabisamalizia Halafu Mpaka Leo Haijaanza?