Kempeni ya say no; Ajibu for Simba

Simba ina hitaji kuboresha kipa. Beki wakucheza na wawa. Pia washambuliaji hatari zaidi kama 2 basi simba itakua gesi yakuotea mbali.
 
Yeye pia atumie akili,atasugua benchi tu hakuna namna! Simba inaenda kusajiri vifaa level ya TP Mazembe,Ajib hata mechi za mazoezi anaweza kukosa namba
 
Ajibu hana uwezo wa kucheza Simba aachwe aliko, ndipo saizi yake, Simba inahitaji wachezaki wenye uwezo mkubwa, sio kwa Kiwango Ajibu.

Sambamba na kampeni hii, kuna kampeni ya kuisaidia Azamu ichukue FA, hii tukishirikia inawezekana Azamu abebe kombe hili.

Tulisema kila ashinde mechi zake wale hawataki kutwa kujishuhurisha na mechi zetu, sasa na Sisi tushuhurike na mechiz Za Azam ashinde.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…