Hey bro just shut the https://jamii.app/JFUserGuide up... huwez ukamu undermine Drake halafu mi nikakuangalia tu....Pambafu kabsa sasa Huyo dem Drake hapo anafanya nn, we shabikia taarabu huku hujui kitu
Haha hip hop is so aliveNas sijui atakuwa na maoni gani sasa hivi cause that hip hop haikuwa imekufa ila now ndio imekata ringi mazima
Haha bora tupo wengiHey bro just shut the **** up... huwez ukamu undermine Drake halafu mi nikakuangalia tu....
Siku nkijua kinachofanya Kendrick apate this love mnayomuonesha,,hah I will be so happyMr. Kendman hashindanishwi aiseee labda kwa umaarufu ila game hana mpinzani kwa sasa
kama legend big shaq .....Ndio ujanja huo..soldier boy alimwambia Lupe fiasco kua hashindwi kuandika meaningful song like Lupe's song's.. But hawezi kupoteza muda huo..yy anataka kutoa ngoma Kali tuuu..beat Kali..catch up hook..mistari 8 unarudia rudia tu Gucci gang Gucci gang Gucci gang skriiiiii skrii hah inatosha..
kweli jamaa kwa sasa amna kituSiku nkijua kinachofanya Kendrick apate this love mnayomuonesha,,hah I will be so happy
J.COLE IS THE REBIRTH OF NAS TO ME NAS IS THE BEST HIPHOP ALIVE EVER AND J.COLE IS THE NAS REINCANATEDNas sijui atakuwa na maoni gani sasa hivi cause that hip hop haikuwa imekufa ila now ndio imekata ringi mazima
Wakati mtoto J.Cole room kwake alibandika picha za Nas ukuta wote was full of lyrics za Nas..wakati J cole katoka Nas akawa shabiki namba moja wa J cole..badae j cole akatoa ngoma inaitwa Work Out..akamkera Nas..nas akasema dogo kam dissapoint kutoa nyimbo ya kijinga kama vile..haha akakaa chini J cole akaja na bonge la Ngoma..inaitwa LET DOWN NAS..hahah i love j cole...Forest Hill Forever.J.COLE IS THE REBIRTH OF NAS TO ME NAS IS THE BEST HIPHOP MC ALIVE EVER AND J.COLE IS THE NAS REINCANATED
Napenda nijue top 5 yako MJUKUU WA CHIFUUmemsahau Tupac
College boyz hawawezi kuwa MCs..hao ñi rappers hawana street credibility...they are faggots
drake mtoe hapo ..Hamna kitu mule ..yule mbana pua waanza kumfananisha vipi na kina j.Cole ..yeye ndiye sababu yakuwaibua Hawa kina rich hommie quin..na kina young thug ..wanaojifnya wana hiphop kumbe wanaimba tena wanaimba softly kabisaaaWell,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa nilikua high school mwaka 2011..kwenye ngoma ya Look Out For Detox.. Shit was real..alichana Sana..flow on point,lyrics..beat..wala hakua anapiga kelele kama sasa..now nashangaa watu wanamsifia Sana but kiukweli sijawahi kukoshwa na K Dot...hayupo hata kwenye list ya rappers wangu watano..My Top FIVE IS
1: J Cole
2😀rake
3:Big Sean
4:A$ap rocky
5: Pusha T
Huyo Taylor swift analaana aiseee demu ...anawaburuza huyo ..yaani yeye anapiga Pesa tu
THE DAMN.. [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] IMEIBEBA HIPHOP KWENYE LIST
karibu bro..Hakika huu uzi nimeupenda sana, kumbe wadau wa muziki wa rap na hip hop tupo wengi humu jukwaani. Nilichofurahi ni kwamba wachangiaji wengi wanafuatilia vizuri kinachoendelea kwa sasa kwenye ulimwengu wa muziki wetu pendwa. Big up wachangiaji wote kwenye huu uzi, haya mwongo flea yao sijui masingeli, sijui nn tupo kule me huwa hata siyasikilizi kabisaa!!!!!
Fight night by Migos.
Beamer by Migos ft Wiz Khalifa & Rae Sremmurd.