Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
- Thread starter
-
- #101
yeah man..nlianza tangu primary school tangu Fl 5..nimeacha mwaka 2013..ubize..life..but now I make beats for funny...tena hadi niwe na mzuka Sana..natumia Akai 5000,na logic 5yes thats true mimi mwenyewe nimemwambia the same this is melodic beat you can sing and rap on it
are the producer?
duuuuuuuuhhhhhh logic najua me iam playing piano tena saaaaaaaaana just for funny ndio huwa but iam doing for funny why dont yo be proffessional producer mimi niko bussy saaana na pia the only instrument i love is pianoyeah man..nlianza tangu primary school tangu Fl 5..nimeacha mwaka 2013..ubize..life..but now I make beats for funny...tena hadi niwe na mzuka Sana..natumia Akai 5000,na logic 5
you are very good on sampler OMGyeah man..nlianza tangu primary school tangu Fl 5..nimeacha mwaka 2013..ubize..life..but now I make beats for funny...tena hadi niwe na mzuka Sana..natumia Akai 5000,na logic 5
muziki bongo umaskini..nshakuaga on top rappers wote WA trap bongo washarap kwenye my beats..kama unaweza piano mzuka..komaa na hizi Fusion na EDM..ndo Kuna utajirii kwa kina martin garrixduuuuuuuuhhhhhh logic najua me iam playing piano tena saaaaaaaaana just for funny ndio huwa but iam doing for funny why dont yo be proffessional producer mimi niko bussy saaana na pia the only instrument i love is piano
Ni kwa mtazamo wako ww ...it isn't a thing anyhow.Well,kama kama heading inavyojieleza..nadhani SI mimi peke yangu anaedhani kua Kendrick Lamar ha deserve hype anayopata,..jamaa WA kawaida Sana..TENA SANA..for the first time namskiza jamaa nilikua high school mwaka 2011..kwenye ngoma ya Look Out For Detox.. Shit was real..alichana Sana..flow on point,lyrics..beat..wala hakua anapiga kelele kama sasa..now nashangaa watu wanamsifia Sana but kiukweli sijawahi kukoshwa na K Dot...hayupo hata kwenye list ya rappers wangu watano..My Top FIVE IS
1: J Cole
2😀rake
3:Big Sean
4:A$ap rocky
5: Pusha T
Umewahi kumsikiliza Krs One??Ungesema ulikua unamsikiliza Mc Hammer ningekubali lakini hip hop ya kuanzia NWA (gangster rap) mpaka hii ya leo nyingi zinafanana.
Mfano mimi naweza kusikiliza Rock the Party, Got 5 On It, Paparazzi n.k na nikasikiliza No Lie, Nicca Needs, Smell Like Money na nikawa na hype ile ile
DEVIL
Alimdiss kwenye ngoma gani?Wakati Nas amemdiss jay kumwambia he sold his soul to devil..nkajua Ni shetani..kumbe sio..kwenye rap wanaposema YOU SOLD YOUR SOUL TO DEVIL They dont mean an actual Devil..,wana maana kua You dont do rap for love,you do it for money and fame
Alimdiss kwenye ngoma gani?
MAYBE ..lakini ile ni fasihi ambayo huwa na maana pana pia...Wakati Nas amemdiss jay kumwambia he sold his soul to devil..nkajua Ni shetani..kumbe sio..kwenye rap wanaposema YOU SOLD YOUR SOUL TO DEVIL They dont mean an actual Devil..,wana maana kua You dont do rap for love,you do it for money and fame
Hiphop imebadilika sana now day hiphop ya kina migos cielewagi kabisa.Watumia auto tunes, T Pain, Lil Wayne, Future kwa kipindi kile ndiyo walisababisha Nas aseme hip hop is dead. Traditional hip hop ilikua inaenda omega sasa hivi wameibuka kina Desiigner, Migos, Travis, Lil Uzi wanazidi kuwakera wakongwe.
BOB alikuwa anachana sana yule Jamaa ashhhhhhh ile ngoma yake ya airplane ilikuwa ninyimbo yangu bora ya mwaka kipindi Kile ilivyotoka ..Jamaa anabadili flow huku anaimba ana rap kwa speed kama anatoa melody vile ...Jamaa ni genius aisee
True bossKendrick amepunguza mismamo kutokana na maelekezo anayopata kutoka kwa mabosi zake ndio maana hawezi kuwa sawa na yule wa Section 8 or Mad City nk.Huu muziki una wenyewe jamani ndio maana hata Big notorious na 2Pac walikuwa wakisugua na wenye muziki baada ya kuambiwa wapunguze ujuaji na viburi.Unapokuwa chini huwa ni rahisi sana kufanya kile unachokitaka lakini ukifika juu utaanza kufanya kile ambacho mabosi wanataka kulingana na soko.Underground wengi huwa wanapendwa na mtaa kwa faida ndogo au bila faida lakini wakifika kwenye main stream huwa wanapigiwa hesabu za kufaidika na kufaidisha watu.BITCH DON KILL MY VIBES..............
Ipate remix alofanya na Jay z ndo utamjua huyu mtu mchafI am s sinner.....God forgive me.........
Acha tuHuyo Taylor swift analaana aiseee demu ...anawaburuza huyo ..yaani yeye anapiga Pesa tu